Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.

leseni ya mafuta siyo kama leseni ya kuuza karanga wewe acha kukurupuka.

siko huria haliruhusu wafanyiniashara kupanga bei; lakini je soko huria linaruhusu serekali kupangia wafanyibiashara bei?

sheria msumeno bwana wewe. usifikiri kuwa sheria inailinda serikali peke yake.

it's complicated baby.
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.
Watawafutia wote lakini ajabu walewale waliofutiwa watapata wote tena wengine kwa kubembelezwa---hii ni bongo bana chesea pengine masee.
 
Tumeshazoea shida, wawanyangánye hizo lesen, wabadili sheria ili Nishati kama mafuta iondolewe kuwa huria.
Vinginevyo, hawa watu wanaweza kuifanya serikali iwe hovyo, na imeshakuwa hovyo.
Nchi nyingi Duniani suala la Nishati ni suala nyeti sana haliachiwi wafanyabiashara peke yao kujiamulia wanavyotaka.
 
Serikali ya CCM ni Legelege! Haina maamuzi ya papo kwa papo mpaka eti iwaombe wafanyabiashara!
 
Mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?
Kunaweza kuwa na madhara kweli lakini hii ni njia nzuri ya kuweka discipline miongoni mwa wafanyabiashara ambao wanajiona kama wana nguvu kuliko serikali yetu. Kwa hali ilivyo hivi sasa ni kama nchi imewekwa rehani na wenye uwezo wa kuikoa ni hao wafanyabiashara wa mafuta, inaudhi sana kuona serikali inashindwa kudhibiti watu kama hao
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.
Serikali legelege haiwezi kutoa maamzi mazito....kwamza hao wafanya biashara ndiyo wanaochangia kampeni za CCM ndiyo maana wana viburi....
 
Ingekuwa ni wanafunzi wamegoma kuingia darasani basi wangevurumishiwa mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha.....lakini muuza mafuta ANAIPA SERIKALI 24hrs na "serikali" inachekacheka tuuuu...

Ingekuwa ni wanafunzi wamelala barabarani ili wajengewe tuta baada ya wenzao kadhaa kugongwa na magari na kupoteza maisha, wangevurumishiwa mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha.
 
leseni ya mafuta siyo kama leseni ya kuuza karanga wewe acha kukurupuka.

siko huria haliruhusu wafanyiniashara kupanga bei; lakini je soko huria linaruhusu serekali kupangia wafanyibiashara bei?

sheria msumeno bwana wewe. usifikiri kuwa sheria inailinda serikali peke yake.

it's complicated baby.

Actually definition ya soko huria ni bei kuachwa ifuate mkondo wa nguvu za soko, nguvu za supply and demand, bila kuingiliwa na serikali.

Kwa hiyo wengine wanaweza kusema "soko huria haliruhusu serikali kupanga bei" na linaruhusu wafanyabiashara kupanga bei wanayotaka kuuza na wanunuzi kukubali au kukataa bei hiyo.

Serikali inachotakiwa kufanya ni kukataza cartels na monopoly. I am not sure if there was a cartel like rationale to justify CCM's move, but in any case the whole exercise is butchered by the haste in which it was implemented.

This thing was implemented hurriedly by CCMs central committees political pressure whose intention may be deemed genuine or political redemption in the eyes of the people after so many catastrophic scandals.

Cheap political popularity may be behind the mungling of this otherwise arguably needed correction, if at all you believe the whole thing about the government staying out of business should be taken with a pinch of salt.

Otherwise, without a cartel breaking rationale, the government is setting precedents to question it's bonafide creentials as an investor friendly agent. The fact that this has been happenning for so long without a check leaves a lot to be desired.
 
Umeme shida, tukawasha vijenereta sasa hakuna mafuta. Tuliowapa nchi wameufyata!
 
Masingasinga wana'drive hii nchi, sijui kwakuwa ni wafadhili wakuu wa chama.
 
Ndugu zangu huu ni wakati wa serikali kufikiria upya suala kuanza kuagiza mafuta yenyewe na kuwauzia wafanyibiashara wakubwa, kama nchi za Burundi,Zambia nk.
 
Ndio hawa wanaochakachua mafuta mpaka magari ya ikulu yanaharibika? Kama serikali imebidi wawaumize wananchi kwa kupandisha bei ya mafuta ya taa ili eti hao jamaa waschakachue unadhani itawafanyaje katika mazingira kama haya?! Serikali legelege hainaubavu wa kuwabana!
 
Ndugu zangu huu ni wakati wa serikali kufikiria upya suala kuanza kuagiza mafuta yenyewe na kuwauzia wafanyibiashara wakubwa, kama nchi za Burundi,Zambia nk.
Mkuu i was about to write it.
Hili naliona limekaa vizuri zaidi Gvt iagize mafuta kisha yeyote mwenye uwezo anunue kutoka kwake na auze kwa bei elekezi, maana mafuta ndio yanaendesha uchumi wa nchi huwezi kuwaachia watu kadhaa wakahodhi soko na kufanya kama wapendavyo
 
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa januari kuanza kuchangia
 
Back
Top Bottom