Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, amechanwa live na Deo Filikunjombe, mbunge machachari wa CCM. Tukiendelea hivi, nina hakika tutatoka hapa tulipo. Nawakilisha.
Waziri wa afya anasema kuyaharibu haya madawa ni utaratibu Wa kawaida,na anadai yapo madawa yanayokosa mgonjwa anaegua ugonjwa husika.Hapa nipo njia panda
mjinga kazi yake kutembea na mabinti wadogo,kipindi kile alipokua waziri wa elimu alipitia sana wanafunzi kwa kuwapa ofa ya mkopo hata wale waliokua hawana vigezo
Waziri wa afya anasema kuyaharibu haya madawa ni utaratibu Wa kawaida,na anadai yapo madawa yanayokosa mgonjwa anaegua ugonjwa husika.Hapa nipo njia panda
Na he looks very very confidence, well experienced kama wakili aliyebobea, anatoa ushahidi moja baada ya mwingine na kuwataja majina ya wajanja wa makampuni hayo wazi wazi, huyu ni KIBOKO kweli....