Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.



 
Mambo ya bungeni wanayaleta ya nini huku si walisema watajadili chumbani tusijue
 
#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
 
Waziri huyu naye mpambavu tu, ama kweli kichwa bila akili ni mzigo kwa miguu! Kumwondoa mpangaji ni uvunjifu wa amani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…