Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Kauli hiyo ya kikakamavu imetolewa na Kangi Lugola ambaye ni Waziri wa mambo ya Ndani ya nchi, ambapo amedai kwamba ni uzembe usiohitaji msamaha wowote kwa Askari kuuawa na Majambazi na ameenda mbali zaidi na kudai Maiti ya Askari atakayeuliwa na majambazi itakamatwa