Leo kwenye kipindi cha maswali kwa waziri mkuu, Mhe Pinda amesema yeye sio Mcha Mungu.
Hivi huyu waziri mkuu anatumia akili kweli?? Hana HOFU ya MUNGU ndio maana anakuwa muongo, muoga wa kuchukua maamuzi na dhaifu katika kuendesha serikali.
Amekiri ameshindwa kutatua mgogoro wa madaktari halafu yupo yupo tu. Ahhhhh, shida tupu.