WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Mh Lusinde aichana chadema aitetea bajeti ya serikali na kusemma sasa inatakiwa kuelekezwa katika mikoa mingine na kuacha mikoa ambayo ilinufauka enzi za ukoloni.
Mbowe atakiwa kujiuzulu baada ya kuudanganya umma kuwa hatatembelea gari VX V8 La serikali lakini amechukua gari hilo na kutembelea kinyemela pia alisema hatapokea posho za vikao ilihali posho hizo anakula kinyemala mbowe; mh lusinde amesema kabla mboye hajataka mawaziri wajiuzulu anatakiwa kujiuzulu yeye kwanza.Aidha Mbowe afananishwa na Mwisamu asiye safi anayekula Nguruwe
NB
Mh Lusinde kachangia kwa kusema anaunga mkono hoja ya serikali kuendelea kutegemea pombe na sigara katika pato la nchi lakini kama wananchi wataokoka itakuwa vizuri pia kwani watatumia muda wao mwingi katika kuliombea Taifa lipate maendeleo makumbwa
Sitta namkubali kwa 100%, majungu na uzandiki ndo umetuleta hadi hapa tulipo.Sijaona spika katika Bunge letu mwenye hekima na busara wa maamuzi ya usawa kama Sitta.
Bunge ni la changamoto na vijana waliosoma na wanajua nn wananchi wanataka.
Bunge la ubabe kitukana watukanwe wapinzani na mipasho lakini ikigeukia kwa serikali ni kosa kubwa.
Wananchi tumeona naomba tuamue 2015
sasa hii wazee wa vurugu wala hawatakomenti chochote​Katika mchango wake katika bajeti ya Serikali, Mhe Mbatia amegusia suala moja ambalo kwakweli lina utata sana.
Taasisi ya Aghakan nchini ina mkataba na serikali wa kutolipa kodi zote (zero tax) nchini kwa sababu kwamba wanatoa huduma za elimu na afya kwa watanzania masikini kwa ghafama nafuu
Lakini cha ajabu ni kwamba hospitali na shule za aghakhan ni most expensive kuliko shule na hospitali nyinginezo. Je kuna maaana gani watu hawa kuendelea kupewa exemption. Naambiwa hata toilet paper inayonunuliwa na aghakhan hailipiwi kodi...achilia mbali magarim vifaaa n.k
Tena wanachofanya, wanawatoza watanzania waswahili na makampuni ya nchini very high premium pale hospitali alafu wana wa subsidize wahindi wa jumuiya ya ISMAILIA ndio wanatibiwa bure pale. Kufanya operation ya appendix pale ni shilingi milioni 2, wakati same operation Tumaini Hospitali ni shilingi 400,000 na St Benard hospital ni shilingi 600,000.
Iweje Agakhan wasilipe kodi ihali Hindumandal ambayo nayo ni ya kidini wanalipa kodi?. Tunaambiwa Regency Hospital ni moja ya walipakodi wakubwa katika TRA kanda ya Ilala.....wanalipa kodi karibia shilingi bilioni 2 kwa mwaka.....sasa aghakhan ambayo ni ghali kuliko regency na ina operations maradufu ya regency si ilipe kodi tu. hii ndio mianya ya upotevu wa fedha za serikali...
Hongera Mhe Mbatia kwa kuliongelea suala hili bungeni
mh. James mbatia anachangia hivi sasa msikilize live.anasifu michango ya wapinzani.
Wabunge wa CCM wote ni vilaza sana na sijui hawajui kwanini wapo bungeni? Badala ya kuwatetea wananchi wao wanakitetea chama. Je Tutafika?
Naibu spika, anajenga nidhamu katika bunge, hongera sana
Mnyika anatoka nje ya mada jamani, mbona hachangii bajeti? Inatia aibu sana.