Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 23,340
- 33,920
Kub...Hongera sana Maalim Mohamed, Bingwa wa historia ya kweli kuhusu harakat za uhuru na hata Mapinduzi ya Zanzibar, nimetamani kusikia mahojiano kamili, ikiwa ndani ya uwezo wako basi utuwekee hapa InshAllah
Sawa SheikhKub...
Nasubiri Bunge warushe kipindi chao ndipo nirushie changu.
Wao wanatengeneza makala kuadhimisha miaka 100 ya Bunge.
Gwapole,Sykes
Adharusi,Hongera mzee Said bingwa wa historia