Mkuu huyu akigutuka usingizini atajibu.....NDIYOOOOOOOOO. na kugonga meza
huu sasa ni umburura kabisa.hao wasioenda kazini au maofisini unafikiri huwa wanazubaa ndani kuangalia bunge?kwa taarifa asilimia 80 ya nyumba mda huu ziko empty,au wapo mahousgal au wamama wa nyumbani na wako busy wanafanya usafi,kupiga deki kuosha vyombo,kufua,kuenda sokoni,kuandaa mlo wa mchana etc.
Wanaongaliaga tv mida kama hii hawazidi 5000 nchi nzima.
Nani kalalamika kukosa huduma kwa ajili ya Bunge?.Asubuhi ni muda wa kazi. Ukienda ofisini halafu usihudumiwe kisa mfanyakazi yupo busy kwa kuangalia bunge utajisikiaje?
Bunge lisionyeshwe live, wawe wanaonyesha marudio yake yote saa tano na nusu usiku.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
This is the last person in my life I will consider for a political leadership!! hypocrisy!! oh my God kwa hiyo anatumia neno "haliruhusiwi"!!! Kwa ujinga wa kinafiki anatumia kisingizio watu wapo makazini!! Miaka mingine watu walikuwa hawaendi makazini!! Nchi nyingine watu hawaendi makazini!! Anaacha kusema wazi kuwa wanaogopa hoja za ujambazi wa raslimali za taifa tusione!! I hate this hyporite!! hadi ninajisikia kumrukia huko alipo!!Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye, amesema kuwa jambo lolote ambalo linaleta heshima kwa Bunge analiunga mkono.
"Suala la Bunge kurushwa ‘live' halirushwi kwa wakati ambao watu wanafuatilia kwani wakati wa asubuhi watu wanakuwa maofisini, wakati wa mchana wao wanakuwa wako mapumziko wanakula na Bunge nalo linakuwa mapumziko, sasa wanaangalia saa ngapi?" alihoji Nape.
Alisema hawezi kupinga suala ambalo linaonekana lina faida na kuleta heshima kwa Bunge hivyo anaafiki uamuzi huo.
Source:Nipashe Ijumaa
Asubuhi ni muda wa kazi. Ukienda ofisini halafu usihudumiwe kisa mfanyakazi yupo busy kwa kuangalia bunge utajisikiaje?
Bunge lisionyeshwe live, wawe wanaonyesha marudio yake yote saa tano na nusu usiku.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums