pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
- Thread starter
- #21
Na hawakumwita kumhojiKuna mtu aliwahi kuwaambia wanademka tu huko bungeni hatukuona job akitikisa hata mguu!!
Na hawakumwita kumhojiKuna mtu aliwahi kuwaambia wanademka tu huko bungeni hatukuona job akitikisa hata mguu!!
WABUNGE LIPENI KODI acheni bla bla zenuUkifatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni. Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili slaa na gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Ukiangalia wanayowapigania hata wananchi hawana habari nayo, Kama ni chanjo hata Amna mwananchi mwenye shida nayo ni wachache Sana wanashida na chanjo make wange kuwa na shida nayo hizo chanjo milioni singeshaisha, kwa kuwa wananchi hawana shida nazo hata laki tatu hazijaisha.Wanaongea ili mwenyekiti awaone wajihakikishie ulaji.
Mambo ya wananchi si kitu kwao,ni watu wa mishahara.
CCM maslahi yao yakiguswa ni wakali kwelikweli
Hukumu yao 2025Ukifatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni. Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili slaa na gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Kipindi Cha jiwe ulikua unakata uno hatati kusherekea kila anachofanya leo ndio umekumbuka Kuna kugoma?Tatizo ni uoga wetu tu,mambo yote yanaweza kupanguliwa tu kwa migomo itokayo kwa wananchi
Wameguswa interests zao, lazima wang'ake!!Ukifatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni. Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili slaa na gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
gwajima nae badala ya kuwafundisha kondoo wake kumjua mungu pale madhabauni yeye ameweka ni uwanja wa siasaYanakula kodi zetu bure bure kabisa Leo wanamsema gwajima jpli gwaji anawasema piaa kanisani
Ni vibaya kuwambia waumini kitu kibaya...gwajima nae badala ya kuwafundisha kondoo wake kumjua mungu pale madhabauni yeye ameweka ni uwanja wa siasa
Kwani alikuwa anawambia akina nani? na je kipindi anaongea alikuwa wapi kwani?gwajima nae badala ya kuwafundisha kondoo wake kumjua mungu pale madhabauni yeye ameweka ni uwanja wa siasa
Kweli wewe kenge unapuliza. Shusha uzi hapa niliokata unoKipindi Cha jiwe ulikua unakata uno hatati kusherekea kila anachofanya leo ndio umekumbuka Kuna kugoma?
Kata uno upulizwe.Kweli wewe kenge unapuliza. Shusha uzi hapa niliokata uno
Ndo ujue wabunge wanapenda ishu za watu kuliko maslahi ya nchi.Wanawahukumu wenzao kama pilato alivyomhukumu Bwana Yesu KRISTO.
Hivi angekuwa wa upande wa pili ingekuwaje.
Nchi ina watu wenye roho mbaya.