Bunge linamjadili mtu kwa uchungu kuliko kujadili yanavyoumiza wananchi

pakaywatek

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
4,636
6,261
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
 
😁😁😁
20210825-161245.jpg
 
Back
Top Bottom