Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
habari wanajamvi, naangalia bunge sasa ivi mh spika amechukua zaidi ya dk.10 kutangaza wageni waliopo ndani
kwa leo na hisi ni wengi kuliko wabunge na pia nahisi mh.spika anapendaga sana hiki kipindi cha kutambulisha
wageni huwa anaraha sana na anaongea sana ......karibuni
kwa leo na hisi ni wengi kuliko wabunge na pia nahisi mh.spika anapendaga sana hiki kipindi cha kutambulisha
wageni huwa anaraha sana na anaongea sana ......karibuni