Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
This is realy great thinking!
you can say that again............
This is realy great thinking!
Dr kigwangala Hamis,, Said bagaile? kwa kuwa yumo humu hpe atatufafanulia hii maneno imekaaje pamoja na wabunge wengine kama Mtema R
Well written!! Nafikiri heading imeshindwa kuvuta watu!!
However, tatizo letu Wabongo ni ubinafsi na uvivu wa kufikiri. Ubinafsi unakuja kutokana na jinsi mikataba ya ovyo tuliyoingizwa na akina Mzee wa Vijisenti kuvikia mahali these guys they do not feel any remose na inaelekea huwa wanajipongeza kwa kazi walivyoifanyia nchi hii.
Uvivu wa kufikiri unakuja pale ninapoona bia na sigara ndiyo kimekuwa chanzo cha mapato ya nchi hii miaka nenda miaka rudi. Wawekezaji wao ni kuleta ajira tu siyo kusaidia kuongeza pato la Taifa.
Well written!! Nafikiri heading imeshindwa kuvuta watu!!
However, tatizo letu Wabongo ni ubinafsi na uvivu wa kufikiri. Ubinafsi unakuja kutokana na jinsi mikataba ya ovyo tuliyoingizwa na akina Mzee wa Vijisenti kuvikia mahali these guys they do not feel any remose na inaelekea huwa wanajipongeza kwa kazi walivyoifanyia nchi hii.
Uvivu wa kufikiri unakuja pale ninapoona bia na sigara ndiyo kimekuwa chanzo cha mapato ya nchi hii miaka nenda miaka rudi. Wawekezaji wao ni kuleta ajira tu siyo kusaidia kuongeza pato la Taifa.
Tatizo siyo title bali attitude zetu..Mpaka title iwe na neno la contemporary issues kama Ufisadi; Maandamano; Live kutoka TV stations; fulani kaumwa/lishwa sumu etc ndo tunahamasika kuchungulia. Mambo ya medium and long term conceptualization si priority kuanzia raia mpaka viongozi. Ndiyo maana tume co-opt strategies za Management by crisis na siyo Scientific management inayoambatana na hypothesis and concept building.
Subiri, watakuja tu wakujibu
Si mara moja kusikia wabunge wakisema sentensi hii: Mheshimiwa Spika naomba nilitaarifu bunge lako TUKUFU....
Nani amelipa utukufu Bunge? Bunge limepewa UTUKUFU lini? Utukufu ni nini? Kwa nini Bunge ni Tukufu?
Si mara moja kusikia wabunge wakisema sentensi hii: Mheshimiwa Spika naomba nilitaarifu bunge lako TUKUFU....
Nani amelipa utukufu Bunge? Bunge limepewa UTUKUFU lini? Utukufu ni nini? Kwa nini Bunge ni Tukufu?