Bunge letu si bunge tukufu

Bunge letu si bunge tukufu

Me sioni kama ubunge ni professional kiasi kuwa ukifuzu basi unaweza tunukiwa cheo cha uheshimiwa,hivyo watambulike kwa vyeo vyao ,hata hivi kuitwa tu mbuge inatosha sana kuliko kama hayo majina ya ajabu wanayo yataka!
 
Kwanza nikupongeze mleta mada.kiukweli mimi binafsi hii kitu inanikera sanaaa,hadi imefikia hatua nikiwa nasoma gazeti let say hotuba ya waziri fulani,HUWA NA-SKIP KUSOMA NENO MHESHIMIWA AU BUNGE LAKO TUKU***.

Mimi kwa bunge kupewa wadhifa wa pahala tuk*** naona ni ulimbukeni wa hali ya juu.Maana hata kama pangekuwa vipi still wanaounda bunge(vikao vya bunge) ni wale wale wanadamu(mimi na wewe).Kibaya zaidi wengi wawalio pale wametumia njia ovu kuupata hicho cheo(hii ikiwemo kutukanana majukwaani,kulogana,kuhonga,kuzushiana kashfa n.k).....alafu eti nimuite mheshimiwa ndani ya bunge tuku****.....never aiseee.Alafu wao wanona pooooooa kuitwa hivyo!

Wabunge zindukeni hamstahili kuitwa waheshimiwa wala bunge si mahala tuku****,acheni kupenda sifa ambazo si zenuuu!!!!
 
Hakuna mtukufu chini ya jua ila ni MUNGU peke yake!
 
Sijui lakin kwakuwa naamini kila mmoja ni muumini wa dini fulani,niombe tu kuhoji,hasa kwa kuzingatia maandko ya dini yako na unavyojua unadhani kwanini bunge linaitwa "tukufu"?,vigezo gani vilitumika kulitunuku sifa hio?,kwanini?

Nadiriki kuuliza kwani mim pengne naww myakubaliana namim kuwa kuna sifa yamkini zinamfaa Mungu pekee,na hasa hii ya utukufu,hata pale alipotuambia yaliyokubliwa duniani basi na mbinguni yamekubalika me sidhani kama alitupa tiketi kujipa majina yanayo mfaa yeye tu au mimi sielewi vema?

Hata hivi ni kweli kuwa bunge letu linafaa kuitwa bunge tukufu au kuna haja ya kuangalia jina jingine zaidi,na zaidi wanaoingia huko wanaitwa waheshimiwa...

you are wrong!
 
you are wrong!

To what extent am I? Be frank,and correct me if am! As am not an angle.a normal human being iam.but you will look more wrong if and if you wont say how did you think am wrong!...na yamkini unaamini kuna dini moja duniani!?.ulipoishia kujua kuna watu wameanzia hapo hapo wakaenda mbele zaidi mkuu...nachelea kusema mengi kwani hujaspecify wapi exactly umeona weaknesses na ukatoa mtazamo wako kuwa kipi ni sahhi zaidi
 
To what extent am I? Be frank,and correct me if am! As am not an angle.a normal human being iam.but you will look more wrong if and if you wont say how did you think am wrong!...na yamkini unaamini kuna dini moja duniani!?.ulipoishia kujua kuna watu wameanzia hapo hapo wakaenda mbele zaidi mkuu...nachelea kusema mengi kwani hujaspecify wapi exactly umeona weaknesses na ukatoa mtazamo wako kuwa kipi ni sahhi zaidi
unaamini kwa dhati kabisa kuwa KILA MMOJA ni muumini wa dini?!!!
 
Mi natoa tamko rasmi:"kuita bunge tukufu,kumwita mtu mtukufu au mheshimiwa ni kinyume na akili za kibinadamu.Hivyo umejivunjia hadhi ya kuwa mwanadamu"
 
unaamini kwa dhati kabisa kuwa KILA MMOJA ni muumini wa dini?!!!

Oohh shaka yako ipo hapo?,sina shaka juu ya hilo,sjui kama kuna mtanzania asie kuwa na dini,ukiacha mzee wetu ambae nae mim sjawah kumskia akitamka kwa kinywa chake kuwa hana dini(mr Ngombalemwiru).lakin kwa tuliobaki tuna dini zetu..na hata kama hauamin kama kuna dini basi unaamini uwepo wa Mungu!,hata Paganism ni miongoni mwa believes so toa shaka
 
Oohh shaka yako ipo hapo?,sina shaka juu ya hilo,sjui kama kuna mtanzania asie kuwa na dini,ukiacha mzee wetu ambae nae mim sjawah kumskia akitamka kwa kinywa chake kuwa hana dini(mr Ngombalemwiru).lakin kwa tuliobaki tuna dini zetu..na hata kama hauamin kama kuna dini basi unaamini uwepo wa Mungu!,hata Paganism ni miongoni mwa believes so toa shaka

haya bana, ngoja tubaki kwenye mada, kwa leo!
 
Sijui lakin kwakuwa naamini kila mmoja ni muumini wa dini fulani,niombe tu kuhoji,hasa kwa kuzingatia maandko ya dini yako na unavyojua unadhani kwanini bunge linaitwa "tukufu"?,vigezo gani vilitumika kulitunuku sifa hio?,kwanini?

Nadiriki kuuliza kwani mim pengne naww myakubaliana namim kuwa kuna sifa yamkini zinamfaa Mungu pekee,na hasa hii ya utukufu,hata pale alipotuambia yaliyokubliwa duniani basi na mbinguni yamekubalika me sidhani kama alitupa tiketi kujipa majina yanayo mfaa yeye tu au mimi sielewi vema?

Hata hivi ni kweli kuwa bunge letu linafaa kuitwa bunge tukufu au kuna haja ya kuangalia jina jingine zaidi,na zaidi wanaoingia huko wanaitwa waheshimiwa...

Ni ulevii tuu !,,,,,,,,,,,haswa ulevi wa madaraka.
 
Kutaka kuonekana ndio wateule, ujue pia nao walitaka waitwe watukufu.....
 
Heshima kwenu wakuu, kwa ufahamu wangu ninavyoelewa ni kuwa kitu TUKUFU ni kitu safi, chema kisicho na mawaa au kwa wengine wanaweza sema Kitakatifu ( nisahihishwe kama nitakuwa nimekosea).

Kwa muda mrefu hii dhana ya kuliita Bunge letu Tukufu imekuwa ikinitatiza kutokana na mambo yanayokuwa yanaendelea mle ndani. Tumekuwa tukishuhudia waheshimiwa wakitoa kauli za uongo, kejeli, kutishana na hata wakati mwingine lugha za matusi ndani ya Bunge.

Je wadau wenzangu ni sahihi kulitumia hili neno TUKUFU kwa madudu yanayokuwa yanaendelea mle ndani?
 
hii mada nzuri ila imekosa wachangiaji toka jana?

kiufupi wabunge waliopo mle ndani sio watukufu ila lile jengo ndio tukufu kwa maana ipo siku tutapata bunge tukufu


angalia maazimio kuanzia ya epa,Richmond,na hii ya escorw hayajapatiwa ufumbuzi na hao wabunge wanaendelea na ajenda zingine kila kukicha kama vile hawajawahi kuweka maazimio na miaka yao ndio hiyo imeisha
 
Bunge
TUKUTU

Tukufu ilikuwe enzi zilee
wakati wanakwenda bungeni na Leyland.
 
Back
Top Bottom