wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
Kangi Lugola, Moses Machali, Zitto Kabwe, Tundu Lissu wamechachamaa. Naibu spika amelazimika kusitisha shughuli za bunge hadi hapo jioni ambapo kamati italazimika kuleta taarifa yake upya
Nicas acha ushamba hadi jioni ipi? baada ya nusu saa ni jioni? zitto ndio katoa hoja yenye mashiko wengine wanaropoka tu bila hoja, yaani unaona shida gani kusema zitto kichwaaaa?