Bunge la Tanzania leo limeidhinisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2020/21 ambayo utekelezaji wake utaanza Julai 1, Sh34.88 trilioni

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,501
9,280
Bunge la Tanzania leo limeidhinisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2020/21 ambayo utekelezaji wake utaanza Julai 1, 2020. Katika kipindi hicho Serikali imepanga kutumia Sh34.88 trilioni kutekeleza shughuli zake zikiwemo za maendeleo.

Kura 304 kati ya 371 zilizopigwa. Kura 63 zimepigwa ‘hapana’ na wabunge 13 hawakuwepo bungeni.
 
Bunge la Tanzania leo limeidhinisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2020/21 ambayo utekelezaji wake utaanza Julai 1, 2020. Katika kipindi hicho Serikali imepanga kutumia Sh34.88 trilioni kutekeleza shughuli zake zikiwemo za maendeleo.
Ndiyooooooo wakati makusanyo yote kwa mwaka hayazidi trilioni 14. Wakwende huko na libajeti hewa uchwara!

Hiyo trilioni 14 tunalipa madeni ya nje trilioni 7.2 hako kaposheni kalikobaki eti ndiko katekeleze bajeti! Si miujiza hiyo jamani!
 
Ndiyooooooo wakati makusanyo yote kwa mwaka hayazidi trilioni 14. Wakwende huko na libajeti hewa uchwara!

Hiyo trilioni 14 tunalipa madeni ya nje trilioni 7.2 hako kaposheni kalikobaki eti ndiko katekeleze bajeti! Si miujiza hiyo jamani!
wanakwenda kukusanya zaidi ya tr17 then watakopa na kuomba kidogo, tujiandae kulipa kodi tyu .....,
 
Wengine ndio wanapitisha budget ya mwisho kwa ajili ya watanzania ni wakati sasa wa kwenda kupitisha budget za familia zao.

Tunashukuru bunge limewapa udhoefu wa miaka 5
 
Back
Top Bottom