Bunge la sasa TZ haliendani na mahitaji ya nchi

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Nimefuatilia sana Bunge hili na kugundua lipo nyuma sana kwa mahitaji ya sasa. Serikali imejitahidi sana kubadilisha mambo mengi kuanzia mazingira ya biashara, utalii, miradi, Kilimo, siasa na mahusiano ya nchi za nje. Lkaini Bunge ni kama vile halijitambui . Kwanza Spika hajiamini na hana uhusiano mzuri na Mama yaani hakuna sehemu spika ananuna kama akienda Ikulu. Pili wabunge wengi hawana upeo na kasi ya Raisi. Wabunge wamejikita zaidi kwenye kusifia au kulalamika badala ya kutoa mapendekezo kiasi kwamba hata Raisi mwenyewe anaona Bunge halisaidii chochote. Lakini kikubwa zaidi wananchi haliamini Bunge na kuona kama ni sehemu ya vihoja. Ushauri wangu hawa Wabunge wasitumike kwenye mchakato wa katiba kabisa. Itafutwe timu ya kitaalamu na watu wenye uzoefu kushughulikia katiba sio hawa wakina Tulia ambao wanafikiria uchaguzi kila siku na hawapendeki na hawakubaliki huo ndiyo ukweli. Nashauri kwenye katiba mpya Raisi aruhusiwe kuteua waziri nje ya ubunge ili tupate viongozi bora badala ya bora viongozi
 
Nimefuatilia sana Bunge hili na kugundua lipo nyuma sana kwa mahitaji ya sasa. Serikali imejitahidi sana kubadilisha mambo mengi kuanzia mazingira ya biashara, utalii, miradi, Kilimo, siasa na mahusiano ya nchi za nje. Lkaini Bunge ni kama vile halijitambui . Kwanza Spika hajiamini na hana uhusiano mzuri na Mama yaani hakuna sehemu spika ananuna kama akienda Ikulu. Pili wabunge wengi hawana upeo na kasi ya Raisi. Wabunge wamejikita zaidi kwenye kusifia au kulalamika badala ya kutoa mapendekezo kiasi kwamba hata Raisi mwenyewe anaona Bunge halisaidii chochote. Lakini kikubwa zaidi wananchi haliamini Bunge na kuona kama ni sehemu ya vihoja. Ushauri wangu hawa Wabunge wasitumike kwenye mchakato wa katiba kabisa. Itafutwe timu ya kitaalamu na watu wenye uzoefu kushughulikia katiba sio hawa wakina Tulia ambao wanafikiria uchaguzi kila siku na hawapendeki na hawakubaliki huo ndiyo ukweli. Nashauri kwenye katiba mpya Raisi aruhusiwe kuteua waziri nje ya ubunge ili tupate viongozi bora badala ya bora viongozi
Wabunge wenyewe hawa wa.. nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa!! Unategemea nn!!
 
Nimefuatilia sana Bunge hili na kugundua lipo nyuma sana kwa mahitaji ya sasa. Serikali imejitahidi sana kubadilisha mambo mengi kuanzia mazingira ya biashara, utalii, miradi, Kilimo, siasa na mahusiano ya nchi za nje. Lkaini Bunge ni kama vile halijitambui . Kwanza Spika hajiamini na hana uhusiano mzuri na Mama yaani hakuna sehemu spika ananuna kama akienda Ikulu. Pili wabunge wengi hawana upeo na kasi ya Raisi. Wabunge wamejikita zaidi kwenye kusifia au kulalamika badala ya kutoa mapendekezo kiasi kwamba hata Raisi mwenyewe anaona Bunge halisaidii chochote. Lakini kikubwa zaidi wananchi haliamini Bunge na kuona kama ni sehemu ya vihoja. Ushauri wangu hawa Wabunge wasitumike kwenye mchakato wa katiba kabisa. Itafutwe timu ya kitaalamu na watu wenye uzoefu kushughulikia katiba sio hawa wakina Tulia ambao wanafikiria uchaguzi kila siku na hawapendeki na hawakubaliki huo ndiyo ukweli. Nashauri kwenye katiba mpya Raisi aruhusiwe kuteua waziri nje ya ubunge ili tupate viongozi bora badala ya bora viongozi
Hii ndiye legacy ya yule mwendawazimu
IMG-20230406-WA0001.jpg
JamiiForums-93732544.jpg
Screenshot_20201102-181842.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia sana Bunge hili na kugundua lipo nyuma sana kwa mahitaji ya sasa. Serikali imejitahidi sana kubadilisha mambo mengi kuanzia mazingira ya biashara, utalii, miradi, Kilimo, siasa na mahusiano ya nchi za nje. Lkaini Bunge ni kama vile halijitambui . Kwanza Spika hajiamini na hana uhusiano mzuri na Mama yaani hakuna sehemu spika ananuna kama akienda Ikulu. Pili wabunge wengi hawana upeo na kasi ya Raisi. Wabunge wamejikita zaidi kwenye kusifia au kulalamika badala ya kutoa mapendekezo kiasi kwamba hata Raisi mwenyewe anaona Bunge halisaidii chochote. Lakini kikubwa zaidi wananchi haliamini Bunge na kuona kama ni sehemu ya vihoja. Ushauri wangu hawa Wabunge wasitumike kwenye mchakato wa katiba kabisa. Itafutwe timu ya kitaalamu na watu wenye uzoefu kushughulikia katiba sio hawa wakina Tulia ambao wanafikiria uchaguzi kila siku na hawapendeki na hawakubaliki huo ndiyo ukweli. Nashauri kwenye katiba mpya Raisi aruhusiwe kuteua waziri nje ya ubunge ili tupate viongozi bora badala ya bora viongozi
No problem, chagua CHADEMA hiyo ndiyi sera yao ya ukabila. Eti wana serkali ta majimbo wanataka kila kabila liwe na kura kumpigia mkuu wa mkoa wake, na RPC, na Paroko, hakuna mtu kuteuliwa na Samia wala na Papa, wala Yanga au Simba, lazima awe Mchagga Uchaggani au Mnyamwezi Unyamwezi. Is that what you want? Humtaki Samia, abaki Mjimkongwe?
 
Kuna mkoa Tanzania wenye kabila moja tu la watu??
No problem, chagua CHADEMA hiyo ndiyi sera yao ya ukabila. Eti wana serkali ta majimbo wanataka kila kabila liwe na kura kumpigia mkuu wa mkoa wake, na RPC, na Paroko, hakuna mtu kuteuliwa na Samia wala na Papa, wala Yanga au Simba, lazima awe Mchagga Uchaggani au Mnyamwezi Unyamwezi. Is that what you want? Humtaki Samia, abaki Mjimkongwe?
 
Hicho ni kijiwe kama vijiwe vingine. Labda tupate maana ya kijiweni….
Kijiweni ni sehemu ya kukutana wenye akili na wasio na akili kupanga mipango hewa..
 
Back
Top Bottom