Bunge la Katiba Kuahirishwa

Bunge la Katiba Kuahirishwa

Habari zisizo rasmi kutoka Dodoma zinadai kuwa Bunge Maalum la Katiba limeahirishwa hadi hapo maridhiano kati ya makundi yanayokinzana yatakapopoatikana.

More details zinafuata

Ni kwamba ccm ni janga la kitaifa.kila jambo lina mwanzo na mwisho
 
Habari zisizo rasmi kutoka Dodoma zinadai kuwa Bunge Maalum la Katiba limeahirishwa hadi hapo maridhiano kati ya makundi yanayokinzana yatakapopoatikana.

More details zinafuata

Sr. Magdalena;
Kumbe unaota tuu jinsi unavyotamani maccm yaumbuke! Loh! Natamani ingalikuwa hivyo lakini sivyo. Mpaka walete katiba yao hadharani. Tena mkifanya mchezo itapitishwa kwa kishindo
 
CCM wakubali kushindwa? Yaani hawa watu hata ukiwaambia Wako uchi, kamwe hawatakubali!!!!! Sijui ni uchizi au nini Sijui, Yaani hata uende ukawavute na "biology" kuwathibitishia kuwa Wako uchi bado watakataaa.
 
CCM wakubali kushindwa? Yaani hawa watu hata ukiwaambia Wako uchi, kamwe hawatakubali!!!!! Sijui ni uchizi au nini Sijui, Yaani hata uende ukawavute na "biology" kuwathibitishia kuwa Wako uchi bado watakataaa.
Acha bangi mkuu kwanini unaongea bangibangi kwa namna hii.
 
Ni uroho wa posho tuu ndio unawaweka Dodoma mpaka leo.
 
Hakuna Kitu Kigumu Kama Kusoma Taarifa Ambayo Sio Rasmi.
 
Nimeshindwa kucomment kwenye huu uzi kwa vile haujathibitishwa!!!!!!
Paw, Invisible fanyeni kitu hapa, ikibidi mtuthibitishie. Tusijeshangilia kumbe hola!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: MC
Kwa maccm hilo swala ni gumu snaa

Kuahirishwa hakukwepeki ila taarifa ya mleta mada ni tetesi zaidi. Vinginevyo tungeshayasikia kqenye vyombo vya habari toka hata nje.Mara ngapi tunapata taarifa za matukio yanayotokea hapa nchini hata kabla vyombo vyetu kutangazia umma?
 
Nimeshindwa kucomment kwenye huu uzi kwa vile haujathibitishwa!!!!!!
Paw, Invisible fanyeni kitu hapa, ikibidi mtuthibitishie. Tusijeshangilia kumbe hola!!!!!!

liked your comment, BTW you have made a comment, haven't you?
 
Back
Top Bottom