Bunge la Katiba Kuahirishwa

Bunge la Katiba Kuahirishwa

Acha bangi mkuu kwanini unaongea bangibangi kwa namna hii.
Kama maneno yangu ndio yanakufanya uone ninatumia bangi, basi nitaendelea kuitumia daima dawamu, ila point iko hapa kuwa CCM si wasikivu, wamelewa sifa, hawaoni mbele..........
 
Habari zisizo rasmi kutoka Dodoma zinadai kuwa Bunge Maalum la Katiba limeahirishwa hadi hapo maridhiano kati ya makundi yanayokinzana yatakapopoatikana.

More details zinafuata
achana na habari za kutunga waacheni wakae uko watuletee katiba ,kwani wakiondoka nyie mtapata nini
 
Nafikiri watu huwa wanota kutokana their heart desires hivi unaposema BMK lina ahirishwa! liahirishwe kwa kwa sababu gani ya msingi binafsi ukawa naona sio hoja tena yakujadili.
Kwasababu me nakosa imani na watu kama hawa hasa kwa mambo wanayoendelea kuyafanya kwa kua nje ya bunge mpaka sasa bila ya sababu maalum nakuendelea kufanya mikutano mingi huku wakiwa wameacha kazi yao bungeni, bunge haliwez kuahirishwa kirahisi namna hiyo.
 
Tamim ivi unafikiri wakibaki kule tutapata nn wa Tz?
 

Attachments

  • 1407820783626.jpg
    1407820783626.jpg
    25.4 KB · Views: 227
Rais ni rizwan kikwete 2015

Acha Ulongo kwani imesha leak kuwa ni SHEIN lakini akipata upinzani sana kwenye CC watamtangaza JP MAGUFULI akimbize bendera ya CCM 2015! Take up my words.
 
Katibu mwenezi singida mashariki adai bunge la katiba lisitishwe.Kwa mujibu wa H.Y.Mazonge katibu mwenezi jimbo la singida mashariki,uwezekano wa katiba kukamilika haupo,ivo anaomba mchakato usitishwe ili upate msimamo wa jamii nzima.Tujadili wadau..
 
Hakuna ulichopost mkuu toa taarifa ya kina, katibu mwenezi chama gani, alisema akiwa wapi, yaani alikuwa anamwambia nani?
 
Katibu mwenezi singida mashariki adai bunge la katiba lisitishwe.Kwa mujibu wa H.Y.Mazonge katibu mwenezi jimbo la singida mashariki,uwezekano wa katiba kukamilika haupo,ivo anaomba mchakato usitishwe ili upate msimamo wa jamii nzima.Tujadili wadau..

Haliwezi kusitishwa kwa sababu walioko bungeni sasa hivi wote ni walafi wa hela za wananchi. Hawana hofu yoyote.Ni kama hawana masikio. Tena hawana huruma.
Wanalipwa laki tatu kwa siku,je kima cha chini ni shilingi ngapi kwa mwezi?
 
Akiwa kama nani? Hamjui kuwa hela zishaliwa hadi sasa
 
Katibu mwenezi singida mashariki adai bunge la katiba lisitishwe.Kwa mujibu wa H.Y.Mazonge katibu mwenezi jimbo la singida mashariki,uwezekano wa katiba kukamilika haupo,ivo anaomba mchakato usitishwe ili upate msimamo wa jamii nzima.Tujadili wadau..

Nikisema wananchi hawana akili sija kosea kilaza kama huyu
 
BMK liendelee kama kawaida. Kama UKAWA wamesusia bunge ni wao hakuna aliyewafukuza bungeni. Kusitisha bunge kwa sababu ya wapumbavu wachache ambao wamejitoa wenyewe haileti maana kabisa. Mimi nasubiri katiba mpya inayotunandikwa bungeni sasa hivi.
 
Nafikiri watu huwa wanota kutokana their heart desires hivi unaposema BMK lina ahirishwa! liahirishwe kwa kwa sababu gani ya msingi binafsi ukawa naona sio hoja tena yakujadili.
Kwasababu me nakosa imani na watu kama hawa hasa kwa mambo wanayoendelea kuyafanya kwa kua nje ya bunge mpaka sasa bila ya sababu maalum nakuendelea kufanya mikutano mingi huku wakiwa wameacha kazi yao bungeni, bunge haliwez kuahirishwa kirahisi namna hiyo.

Kanye ulale
 
Siku zote penda kujifunza hata kama ukweli unauma huwezi kusikia yale unayoyataka kila saa na kila wakati ndio maana ya democrasia ukipenda kusikia unayoyapenda tu utakua na marafiki wanafiki watakao cheka ukiwa nao na watakuongelea SHIT BEHIND YOUR BACK!
 
Back
Top Bottom