Bunge la Afrika Mashariki lachachamaa ubadhirifu mkubwa unaofanywa na Serikali ua JPM...baadhi ya wabunge watishia kujiuzuru leo...

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
Hii imetokeo leo katika kikao cha bunge la jumuiya ya Afrika mashariki kinachoendelea mjini Arusha...Wabunge wamegoma kupokea taarifa ya kamati ya fedha wakitaka waliohusika na ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za uma kutoka serikali ya Tanzania wachukuliwe hatua...jambo la kusikitisha wachangiaji karibia woote na walioguswa na adha hii mpaka kutishia kujiudhuru sio wabunge kutoka Tanzania...arafu utasikia mtu anaropoka kuwa bunge letu sio dhaifu...duh
 
Hii imetokeo leo katika kikao cha bunge la jumuiya ya Afrika mashariki kinachoendelea mjini Arusha...Wabunge wamegoma kupokea taarifa ya kamati ya fedha wakitaka waliohusika na ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za uma kutoka serikali ya Tanzania wachukuliwe hatua...jambo la kusikitisha wachangiaji karibia woote na walioguswa na adha hii mpaka kutishia kujiudhuru sio wabunge kutoka Tanzania...arafu utasikia mtu anaropoka kuwa bunge letu sio dhaifu...duh
Labda kuna ka-video umesahau ku attach?
 
Tunataka la Ndugai ndio liseme,ahahahaaaa. Hilo sijawahi ona faida yake. Wampatanishe kwanza Rwanda na Burundi.

Bomba Mvua
 
Hii imetokeo leo katika kikao cha bunge la jumuiya ya Afrika mashariki kinachoendelea mjini Arusha...Wabunge wamegoma kupokea taarifa ya kamati ya fedha wakitaka waliohusika na ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za uma kutoka serikali ya Tanzania wachukuliwe hatua...jambo la kusikitisha wachangiaji karibia woote na walioguswa na adha hii mpaka kutishia kujiudhuru sio wabunge kutoka Tanzania...arafu utasikia mtu anaropoka kuwa bunge letu sio dhaifu...duh
Wakuu file ni kubwa Video najaribu kudownload linacancel
 
Bunge LA Jumuiya hujadili masuala ya Jumuiya na siyo masuala ya nchi moja moja, hill sio bunge LA EAC labda Bangi LA EAC, were sio bure, baada ya CAG kukubali kwenda kujielezakwenye kamati ya bunge umeamua uje na kijambo kipya. Labda bunge lingejadili tishio LA ugaidi EAC sio mambo ya Tanzania
Hii imetokeo leo katika kikao cha bunge la jumuiya ya Afrika mashariki kinachoendelea mjini Arusha...Wabunge wamegoma kupokea taarifa ya kamati ya fedha wakitaka waliohusika na ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za uma kutoka serikali ya Tanzania wachukuliwe hatua...jambo la kusikitisha wachangiaji karibia woote na walioguswa na adha hii mpaka kutishia kujiudhuru sio wabunge kutoka Tanzania...arafu utasikia mtu anaropoka kuwa bunge letu sio dhaifu...duh
 
Hii imetokeo leo katika kikao cha bunge la jumuiya ya Afrika mashariki kinachoendelea mjini Arusha...Wabunge wamegoma kupokea taarifa ya kamati ya fedha wakitaka waliohusika na ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za uma kutoka serikali ya Tanzania wachukuliwe hatua...jambo la kusikitisha wachangiaji karibia woote na walioguswa na adha hii mpaka kutishia kujiudhuru sio wabunge kutoka Tanzania...arafu utasikia mtu anaropoka kuwa bunge letu sio dhaifu...duh
Kwani bunge linaundwa na nani?! Si watu, sasa kuna mtu aliyekamilika? Binadamu wote ni dhaifu na ndipo udhaifu wa bunge unapokuja!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh hii taarifa Nzuri sana " kwa wana harakati wa penda maendeleo " .... kumbe mpaka huko ng'ambo wanajua wazi kuwa tz inaongozwa na utawala uliojaza wezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom