Manka wewe unatumia parachichi!Mleta mada, bila shaka unafikiria kwa kutumia MAKALIO.
Vitisho tunavyokumbana navyo ungekuwa wewe ungeishajiharishia siku nyingi ?Mbona wewe hujakamatwa?
Hacha Mambo yako bwana,nenda zako bwanaMoja ya kipimo cha kuimarika kwa upinzani ni uwepo wa Kambi rasmi ya upinzani na mabaraza ya madiwani yanayoongozwa na vyama vya upinzani.
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!
Manka wewe unatumia parachichi!
Mchungaji Mtikila aliwahi kumiminiwa risasi hata mbili?Moja ya kipimo cha kuimarika kwa upinzani ni uwepo wa Kambi rasmi ya upinzani na mabaraza ya madiwani yanayoongozwa na vyama vya upinzani.
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kweli kabisa!Wapinzani waliambiwa na Prof Mkumbo kwamba wasipobadilika miaka ile mitano ya Magu watapotezwa.
Ndicho kilichotokea na hizi kelele za kuonewa ni ziada tu.
Vinatakiwa vipatikane vichwa vipya kabisa vyenye fikra mpya zenye kuwapa changamoto CCM.
Muulize aliyepika matokeo ofisini..!!Moja ya kipimo cha kuimarika kwa upinzani ni uwepo wa Kambi rasmi ya upinzani na mabaraza ya madiwani yanayoongozwa na vyama vya upinzani.
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!
Sema wamehujumiwa kimabavu.Moja ya kipimo cha kuimarika kwa upinzani ni uwepo wa Kambi rasmi ya upinzani na mabaraza ya madiwani yanayoongozwa na vyama vya upinzani.
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!