in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
serikali inatarajia kupeleka mswada wa sheria ya maandamano itakayo tamka kuwa maandamano yoyote yatakayofanyika ni lazima waandamane kwa zaidi ya 120km chini ya hapo waandamanaji watakabiliwa na kifungo kisichozidi mwaka 1. chadema mpoooo!!!!!