Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kesho Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania linatazamiwa kufuta madeni yenye dhamani ya shilingi 12 Bilioni , hii ni kutokana na vile visingizio kuwa madeni haya hayalipiki, mara wadaiwa wamekufa n.k.
Kama Nchi hii masikini inaweza kupoteza fedha nyngi kiasi hicho huku Rais wake akienda Marekani kupokea msaada wa Dola 20 elfu, hii ni fedheha kwa watanzania.
Nitajitahidi kuwabandikia madeni hayo na hao wanaotazamiwa kusamehewa.
Kama Nchi hii masikini inaweza kupoteza fedha nyngi kiasi hicho huku Rais wake akienda Marekani kupokea msaada wa Dola 20 elfu, hii ni fedheha kwa watanzania.
Nitajitahidi kuwabandikia madeni hayo na hao wanaotazamiwa kusamehewa.