Sofia Simba kupita bila kupigiwa kura wala kuhojiwa kuwa Mbunge wa SADC ilikuwa sahihi?
Ndungai anasema Mnyika alikuwa sahihi kulingana na kifungu cha 5 (2c) cha kanuni za bunge lakini alichelewa kutoa hoja na Spika wa Bunge, Anna Makinda ndiye aliyeanza mchakato wa uchaguzi kabla ya kumuachia kiti hicho. Kwa ukiukwakaji wa Kanuni za Bunge mwanzoni tu mwa Bunge unattupa picha gani waku kuhusu umakini wa Anna Makinda kuliongoza Bunge letu tukufu na uzoefu wake wa kuwa Bungeni tangia 1975 hadi leo hii?
Source Tanzania Daima (CHADEMA yamwadhiri Ndungai)
Ndungai anasema Mnyika alikuwa sahihi kulingana na kifungu cha 5 (2c) cha kanuni za bunge lakini alichelewa kutoa hoja na Spika wa Bunge, Anna Makinda ndiye aliyeanza mchakato wa uchaguzi kabla ya kumuachia kiti hicho. Kwa ukiukwakaji wa Kanuni za Bunge mwanzoni tu mwa Bunge unattupa picha gani waku kuhusu umakini wa Anna Makinda kuliongoza Bunge letu tukufu na uzoefu wake wa kuwa Bungeni tangia 1975 hadi leo hii?
Source Tanzania Daima (CHADEMA yamwadhiri Ndungai)