Nawaletea taarifa hizi ambazo zimezagaa kwenye ofisi ya Spika na katibu wa Bunge kuwa huenda ratiba ikafupishwa na kesho jumamosi ikatolewa hoja ya kuliahirisha Bung kabla ya wakati ili kuilinda serikali isiangushwe na Bunge.
Hii ndio hali halisi iliyopo huko kwenye ofisi hizo , na ntaendelea kuwajulisha nini kinaendelea kadiri watakavyokuwa wanapanga.
Hii ndio hali halisi iliyopo huko kwenye ofisi hizo , na ntaendelea kuwajulisha nini kinaendelea kadiri watakavyokuwa wanapanga.