Bunge kuahirishwa kesho Jumamosi kuepuka aibu ya kufika j3 kisa saini 70

Chimpa mbunge wako mwambie Vip le barua ushaipeleka.Akikuuliza ipi mwambe ya kujiuzuru.
Nashauri ujumbe kwa wabunge wetu uwe "mkuu mbona unatusaliti?mpaka sasa haujasign mbona"
 
Hata wapange vipi hoja itabaki pale pale na haiepukiki kwa namna yoyote ile.
Mkuu wakihairisha watakuwa wamedefuse hii motion kwa hiyo mkuu atakuwa na muda wa kubadili baraza la mawaziri hivyo wadau hawatakuwa na hoja!!!!! Lakini shida kubwa vile vile ni kuwa na baraza kubwa la mawaziri, kuweka mawaziri arobaini kwenye nchi hii masikini ni kwa faida ya nani????? Tena watu wenye ni none performers, wanaendesha tuu mashangingi na kulipwa posho lukuki, mbali na kuiba na mikataba feki, hilo nalo Mhe Raisi alijue!!!!!!!!!!!

 
Kuharakisha kuahirisha bunge ili kukwepa anguko lijalo ni kukitia kidonda chumvi au iodine; je kile kikao kirefu cha mwezi wa 6 nacho watakifutilia mbali au itakuwaje????!!
Pinda kazidisha sana tabia iitway "Hear no evil; see no evil and do nothing"
Wakati wa kutafakari na kuchukua hatua ndioo huu. GOD BLESS MY MOTHERLAND, TANZANIA, break the chains of corruption, personal aggrandisement, moral decay and all evils.
 
Mm nipo nanyi siku zote..Tuma ujumbe kwa Mbunge wako kwa Lugha ya Ustaha...lugha yenye busra ukimuomba afanikishe kuikoa nchi yetu kwa huu ubadhilifu.Tunaanza na Pinda then the rest wanafuata.
Majina ya wabunge hayajaandikwa kwa sababu maalumu kabisa..kwa sababu hili ni swala la kitaifa wabunge wote wanatakiwa waungane kauhakikisha Tunainusuru serikali yetu.
Asanteni.Chagua namba yoyote tuma ujumbe wako ukisema.."Mh.Mbunge nakomba uungane na wabunge wenzako kusini partition ya kupiga kura kutokuwa na imani na waziri mkuu ili tupate nafasi ya kuiwajibisha serikali fisadi ya tanzania."
1.Phone:
+255 27 2533696/+255 713 512308

2.+255 754 261 888/+255 784 261 888/+255 758 500 000
3.Phone: +255 784 338 181
4.Phone: +255 784 549061/+255 772 961388/+255 716 955024
5.Phone: +255 777 841536
6.Phone: +255 22 2184262/+255 784 270578/+255 774 270578
7.Phone: +255 787 004060/+255 754 485472
8.Phone: +255 784 548 837/+255 754 232 484
9.Phone: +255 784 645343/+255 767 645343/+255 655 645343
10.Phone: +255 788 065065
11.Phone: +255 713 730 256
12.Phone: +255 777 432 985
13.Phone: +255 754 284173/+255 713 902221
14.Phone: +255 774 010 203/+255 784 717 712
15Phone: +255 785 786110/+255 719 786110
16.Phone: +255 787 228 620
17.Phone: +255 754 742447/+255 784 884178
18.Phone: +255 713 220 451/ +255 684 000 852
19.Phone: +255 777 416 742
20.Phone: +255 784 764392
21.Phone: +255 784 242425/+255 755 242425/+255 713 401344
22.Phone: +255 784 474474/+255 715 969969/+255 754 424474
23.Phone: +255 682 723 839/+255 766 603 141
24.Phone: +255 786 786 786
25.Phone: +255 784 815 090/+255 754 374202
26.Phone: +255 777 468897
27.Phone: +255 754 372556
28.Phone: +255 784 033333/+255 754 414444
29.Phone: +255 773 483981/+255 714 227735/+255 754 483681
30.Phone: +255 784 620561/+255 713 620561
31.Phone: +255 756 291102/+255 784 597494/+255 716 256722
32Phone: +255 756 291102/+255 784 597494/+255 716 256722
33.Phone: +255 767 100900/+255 787 100900
34.Phone: +255 787 77070
35.Phone: +255 787 7707077
36.Phone: +255 789 089189/+255 655 089189
37. Phone: +255 777 418013
38. Phone: +255 755 972637/+255 785 498815
39.Phone: +255 719 662132/+255 789 662132
40. Phone: +255 713 239273
Ahsante Mkuu kwa hii strategy nayo inafaa kwa wakati huu wa science na technologia, nimeipenda, tuko pamoja kwa saana!!!!

 
Kuna habari kutoka ndani ya Serikali na Bunge kwamba Bunge linaahirishwa kesho Jumamosi badala ya Jumanne ili kukwepa uwasilishaji majina 70 ya wabunge katika pendekezo ya kumng'oa Waziri Mkuu. Hali ni tete kweli kweli Dodoma kwa sasa.
 
Kikao cha kamati ya uongozi ndicho kupanga ratiba ya bunge, na kamati hiyo inajumuisha wenyeviti wote wa kamati za bunge (including Zitto) na kiongozi wa upinzani bungeni. kama wakipanga kuahirisha mkutano jumamosi, Zitto atajua na plan B itafanya kazi hakutaharibika kitu, so far saini 70 huenda zikakamilika leo hii
 
Nadhani even CCM sio wajinga kiasi chaKu-solve serious issue; kirahisi hivi
 
Kuna habari kutoka ndani ya Serikali na Bunge kwamba Bunge linaahirishwa kesho Jumamosi badala ya Jumanne ili kukwepa uwasilishaji majina 70 ya wabunge katika pendekezo ya kumng'oa Waziri Mkuu. Hali ni tete kweli kweli Dodoma kwa sasa.

Namuonea huruma PM. Mwanzoni alipoingia aliahidi KAGODA lazima itashughulikiwa, nadhani alikuwa hamjui KAGODA mwenyewe ni nani. baada ya kumjua akaja kutuambia, jamani tukiwakamata mafisadi wa EPA uchumi wa nchi utayumba. taratibu tukaanza kumuona anaishiwa ujasiri, baadaye akatuambia wale MEREMETA waliokomba bilioni 155 ni usalama wa taifa hivyo akajiapiza hatajibu hoja za wabunge. Nakumbuka mzee Cheyo akamuuliza usalama wa taifa wetu ni salama zaidi kwa wazungu waliomo ndani ya MEREMETA kuliko wabunge?
Mimi ninaimani kuwa PM anamajibu mazuri tu juu ya uzembe serikalini lakini kuna anayemkwamisha, si tunamjua? kama kuna mtu hamjui hamjui arudie kutafsiri mtiririko wa kilichotokea kwa David Jairo. Ila binafsi namshangaa Pinda kwa nini anakubali kuendelea kudhalilika? Sakata la Jairo tu lilitosha kuomba kupumzika.
 
weka mjina maana nitakuwa na uhakika gani kama ni namba ya mbunge yawezakuwa ni ya wanaccm

ukitaka kujua jina lake fanya kama unatuma m-pesa ktk voda, ama tigo- pesa ktk tigo, ila weka kiasi cha pesa ambacho kinazidi pesa ambayo unayo ktk simu yako, message itabounce kuwa huna hela ya kumtumia mtu xxxxyyyy na jina utakuwa umeshalifahamu.
 
Naomba ujumbe usomeke hivi:
"Mh. Mbunge, ukiwa kama mwakilishi wetu bungeni, tunaomba usaini fomu ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu pamoja na baraza lake la mawaziri"

Kama unafahamu jina la Mbunge na jimbo lake basi ujumbe wake uwe hivi:

"Mh. [taja jina], sisi wananchi wako wa Jimbo la [taja jimbo], tunaomba usaini fomu ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu pamoja na baraza lake la mawaziri"

Pamoja tutafika!

me mbunge wangu ni MKULO
 
Kumkoma nyaniiiiiiiiiiiii....... watu.... Giladiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Mwisho wa ubayaaaaaa......watu..... Aibuuuuuuuuuuu

peoplesssssssssss...............watu.... Powerrrrrrrrrrrrrr
 
nawaletea taarifa hizi ambazo zimezagaa kwenye ofisi ya spika na katibu wa bunge kuwa huenda ratiba ikafupishwa na kesho jumamosi ikatolewa hoja ya kuliahirisha bung kabla ya wakati ili kuilinda serikali isiangushwe na bunge.

Hii ndio hali halisi iliyopo huko kwenye ofisi hizo , na ntaendelea kuwajulisha nini kinaendelea kadiri watakavyokuwa wanapanga.

chadema tunasema tutaandamana wakithubutu kufanya hivyo

 
Back
Top Bottom