Hapa tayari mtetezi wa legacy umepanic 😂Magaidi wako sero hatujawahi kuwa na wapinzani nchi hii
USSR
Akili Matope?Magaidi wako sero hatujawahi kuwa na wapinzani nchi hii
USSR
Katiba bado bado tuipe mudaWametukosea sana Watanzania.
Ni muda muafaka kuwa katiba mpya kuondoa sintofahamu hii