Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Hii Bundle ya Voda One week Unlimited kwa 10,000/-
Naomba kujua inakuwa na Ujazo gani!?? Nauliza hivyo kwa sababu niliinunua juzi, siku za mwanzo ikawa inanipa maspeed ya Ajabu hadi 3.8Mbps.
Baada ya siku ya 3 nikiwa nakula na kupakua Mizigo angani, saivi naona inanipa Speed ya 0.32Mbps.
Je huweka kiwango fulani na baada ya hicho kiwango kuisha wanabana Bandwidth au inakuwajehadi watudanganye kuwa ni Unlimited na kumbe sivyo!???
Naomba kujua especially ujazo wake.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Naomba kujua inakuwa na Ujazo gani!?? Nauliza hivyo kwa sababu niliinunua juzi, siku za mwanzo ikawa inanipa maspeed ya Ajabu hadi 3.8Mbps.
Baada ya siku ya 3 nikiwa nakula na kupakua Mizigo angani, saivi naona inanipa Speed ya 0.32Mbps.
Je huweka kiwango fulani na baada ya hicho kiwango kuisha wanabana Bandwidth au inakuwajehadi watudanganye kuwa ni Unlimited na kumbe sivyo!???
Naomba kujua especially ujazo wake.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums