Bundi CHADEMA na Wakati wa Malipo - Lowassa Huyu Huyu?

Tunahitaji ufafanuzi. Maana blackmail upande nwingine unaweza kutafsirika kwamba Magufuli kamwambia faili lako ninalo na naweza kukufanyia mbaya, bora uwe mdogo kabla sijakutumia TAKUKURU wakuchunguze upya.

Kwa serikali kuwa na makabrasha ya Lowasa au TAKUKURU, hilo ni jambo la kawaida.

Ila kama Edward Hosea alishindwa kulifanyia kazi mafaili hayo wakti ule, basi huu ni wakati wake.

Na kama kuna vizuizi kwa TAKUKURU kwanini mzee mwenyewe asiitwe akajieleza, au akaomba kumuona raisi mwenyewe (kwa mujibu wa mkuu G Sam) ?

Edward Lowasa ni mtu mzito sana kwenye nchi hii lakini hawezi kuishinda serikali na kinachofanyika sasa ni damage limitation.

Na hiyo hatuwezi kuita ni blackmail kwani inakuwa inaingia kwenye ramsom kwamba unahitaji malipo ya fedha ili kupata kitu fulani.

Sasa raisi hawei kufanya blackmail.

Hapo tena tunakuwa tunapoteza maana ya mjadala.
 
1.jpg
(Picha na Ikulu)

Katika jambo ambalo limetafsiriwa na baadhi ya watu kama kuuchanganya upinzani leo Waziri Mkuu wa zamani Bw. Edward Lowassa amekutana na Rais John Magufuli Ikulu jijini Dar-es-Salaam kwa mazungumzo. Kufuatia mazungumzo hayo Lowassa alizungumza na waandishi wa habari na alimmwagia sifa Rais Magufuli na serikali yake kwa kazi nzuri inayofanywa. Maelezo yake hayakuelezea kama katika mazungumzo na Rais Magufuli kama Lowassa alizungumzia masuala ya haki za kiraia, masuala ya usalama na masuala mbalimbali ya kidemokrasia ambayo chama chake kimekuwa kikizungumzia sana siku za karibuni.

Kutokana na hilo baadhi ya viongozi wa Chadema na hata wanachama wa kawaida wameanza mara moja kumshangaa Lowassa kwa uamuzi wake wa kukutana na Magufuli na kummwagia sifa kama alivyofanya. Miongoni mwa viongozi walioonesha mwitikio wa kutofurahishwa na jambo hilo ni Mbunge wa Arusha Mjini Bw. Godbless Lema. Lema akiandika katika ukurasa wake wa Twitter alisema hivi “Mh Lowassa umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu. Mema yapi umeyaona katika Serikali hii? Wakati Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi, maiti zinaokotwa, Uchumi unaanguka, Benki zinafungwa, Demokrasia imekufa Bungeni/Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza”

Mwenyekiti wa CHADEMA naye Bw. Freeman Mbowe ambaye alifanya juhudi kubwa kumleta Lowassa ndani ya Chadema na hatimaye kutengeneza njia ya kumfanya kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2015 ameonesha kushangazwa na kauli hiyo ya Lowassa. Akizungumza na Shirika la Utangazaji la Ujerumani (DW Idhaa ya Kiswahili) Bw. Mbowe amesema kuwa kauli za Lowassa Ikulu ni zake binafsi na hazikuwa zinawakilisha msimamo wa chama.

Wakati huo huo baada ya mkutano wake na Magufuli jioni hii taarifa zimekuja zinazoelezea kuwa Mzee Lowassa anatarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari kesho katika hoteli ya Serena. Haijajulikana anataka kuzungumzia nini hasa lakini kwa kuangalia wimbo wa kuhama Chadema unaoendelea sasa hivi na jinsi alivyogeuka na kuisifia Serikali ya Magufuli na kuacha kutetea misimamo ya Chadema wala ajenda zake hadharani hapo jana, ni wazi kuna uwezekano wa Lowassa kuamua kufanya mambo makubwa mawili.

Kuna uwezekano wa yeye kutangaza kustaafu siasa rasmi na hivyo kuamua kujivua nafasi zote za uongozi katika Chadema. Anaweza kufanya hivyo ili kutoa nafasi kwa wanasiasa vijana na wengine kuendelea kuijenga Chadema kuelekea chaguzi za 2019 na zile za 2020. Jambo jingine analoweza kulifanya atakapozungumza na waandishi wa habari ni kutangaza kukirudia chama chake cha awali cha CCM ambacho alichokulia na kukitumia kwa muda mrefu na ambacho kilimpa nafasi mbalimbali za juu uongozi nchini.

Endapo Lowassa ataamua kufanya hilo la kwanza ni wazi hilo la pili halitokuwa mbali; lakini kama ataamua kufanya hilo la pili ni wazi kuwa Lowassa atakuwa ameona kuwa hawezi kuendelea na siasa za upinzani kwani gharama ya kuwa upinzani ni kubwa sana na hakuwa tayari kuendelea kuilipa.

Kwa baadhi yetu ambao tumekuwa tunafuatilia siasa za upinzani hasa kufuatia Chadema kujivuruga kwa kumkumbatia Lowassa na kumtupa Dkt. Slaa kwa kejeli na dharau namna ile kuna somo ambalo viongozi wa Chadema watapaswa kuulizwa. Ni matumaini yetu endapo lolote litatokea kufuatia Lowassa kuamua ama kustaafu siasa au kujiondoa Chadema, wanachama na mashabiki wa Chadema watakasirishwa na uongozi wao na kutaka viongozi wote wa juu kuwajibika kwa kukivuruga chama.

Wakati umefika kwa wanachama wa kweli na wapinzani wa kweli ndani ya Chadema kuoneshwa kukasirishwa na uongozi wa chama cha kuanza kuoneshwa kukasirishwa na kutaka watu wawajibike kuanzia Mwenyekiti na Kamati Kuu nzima. Wasipoonesha hasira zao kwa viongozi wao na badala yake wakiendelea kumlalamikia Magufuli kwa kuvugura upinzani wataendelea kuwa kama mbuni aliyeficha kichwa chake mchangani na kama wale ambao wanazungumzia matatizo yote yaliyokuwemo ndani isipokuwa yule tembo aliyesimama pembeni!

Ni wakati wa malipo. Na alipo wataendelea kuwepo?

Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com
Naona mshirikina mkuu umeibuka kutoka kuzimu!
 
Pigeni kelele muwezavyo Chadema itabaki kuwa imara sana

Mzee mwakjiji unajifanya mtabiri tulia siku iishe na kesho kukuche usikie atakacho ongea lowassa kumbuka kuwa nguvu aliyokuwa nayo Dr.Slaa ulivyo hama haikuyumbisha chama Bali kiliimarika Mara dufu

Tulia msiwe na papara
 
1.jpg
(Picha na Ikulu)

Katika jambo ambalo limetafsiriwa na baadhi ya watu kama kuuchanganya upinzani leo Waziri Mkuu wa zamani Bw. Edward Lowassa amekutana na Rais John Magufuli Ikulu jijini Dar-es-Salaam kwa mazungumzo. Kufuatia mazungumzo hayo Lowassa alizungumza na waandishi wa habari na alimmwagia sifa Rais Magufuli na serikali yake kwa kazi nzuri inayofanywa. Maelezo yake hayakuelezea kama katika mazungumzo na Rais Magufuli kama Lowassa alizungumzia masuala ya haki za kiraia, masuala ya usalama na masuala mbalimbali ya kidemokrasia ambayo chama chake kimekuwa kikizungumzia sana siku za karibuni.

Kutokana na hilo baadhi ya viongozi wa Chadema na hata wanachama wa kawaida wameanza mara moja kumshangaa Lowassa kwa uamuzi wake wa kukutana na Magufuli na kummwagia sifa kama alivyofanya. Miongoni mwa viongozi walioonesha mwitikio wa kutofurahishwa na jambo hilo ni Mbunge wa Arusha Mjini Bw. Godbless Lema. Lema akiandika katika ukurasa wake wa Twitter alisema hivi “Mh Lowassa umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu. Mema yapi umeyaona katika Serikali hii? Wakati Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi, maiti zinaokotwa, Uchumi unaanguka, Benki zinafungwa, Demokrasia imekufa Bungeni/Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza”

Mwenyekiti wa CHADEMA naye Bw. Freeman Mbowe ambaye alifanya juhudi kubwa kumleta Lowassa ndani ya Chadema na hatimaye kutengeneza njia ya kumfanya kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2015 ameonesha kushangazwa na kauli hiyo ya Lowassa. Akizungumza na Shirika la Utangazaji la Ujerumani (DW Idhaa ya Kiswahili) Bw. Mbowe amesema kuwa kauli za Lowassa Ikulu ni zake binafsi na hazikuwa zinawakilisha msimamo wa chama.

Wakati huo huo baada ya mkutano wake na Magufuli jioni hii taarifa zimekuja zinazoelezea kuwa Mzee Lowassa anatarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari kesho katika hoteli ya Serena. Haijajulikana anataka kuzungumzia nini hasa lakini kwa kuangalia wimbo wa kuhama Chadema unaoendelea sasa hivi na jinsi alivyogeuka na kuisifia Serikali ya Magufuli na kuacha kutetea misimamo ya Chadema wala ajenda zake hadharani hapo jana, ni wazi kuna uwezekano wa Lowassa kuamua kufanya mambo makubwa mawili.

Kuna uwezekano wa yeye kutangaza kustaafu siasa rasmi na hivyo kuamua kujivua nafasi zote za uongozi katika Chadema. Anaweza kufanya hivyo ili kutoa nafasi kwa wanasiasa vijana na wengine kuendelea kuijenga Chadema kuelekea chaguzi za 2019 na zile za 2020. Jambo jingine analoweza kulifanya atakapozungumza na waandishi wa habari ni kutangaza kukirudia chama chake cha awali cha CCM ambacho alichokulia na kukitumia kwa muda mrefu na ambacho kilimpa nafasi mbalimbali za juu uongozi nchini.

Endapo Lowassa ataamua kufanya hilo la kwanza ni wazi hilo la pili halitokuwa mbali; lakini kama ataamua kufanya hilo la pili ni wazi kuwa Lowassa atakuwa ameona kuwa hawezi kuendelea na siasa za upinzani kwani gharama ya kuwa upinzani ni kubwa sana na hakuwa tayari kuendelea kuilipa.

Kwa baadhi yetu ambao tumekuwa tunafuatilia siasa za upinzani hasa kufuatia Chadema kujivuruga kwa kumkumbatia Lowassa na kumtupa Dkt. Slaa kwa kejeli na dharau namna ile kuna somo ambalo viongozi wa Chadema watapaswa kuulizwa. Ni matumaini yetu endapo lolote litatokea kufuatia Lowassa kuamua ama kustaafu siasa au kujiondoa Chadema, wanachama na mashabiki wa Chadema watakasirishwa na uongozi wao na kutaka viongozi wote wa juu kuwajibika kwa kukivuruga chama.

Wakati umefika kwa wanachama wa kweli na wapinzani wa kweli ndani ya Chadema kuoneshwa kukasirishwa na uongozi wa chama cha kuanza kuoneshwa kukasirishwa na kutaka watu wawajibike kuanzia Mwenyekiti na Kamati Kuu nzima. Wasipoonesha hasira zao kwa viongozi wao na badala yake wakiendelea kumlalamikia Magufuli kwa kuvugura upinzani wataendelea kuwa kama mbuni aliyeficha kichwa chake mchangani na kama wale ambao wanazungumzia matatizo yote yaliyokuwemo ndani isipokuwa yule tembo aliyesimama pembeni!

Ni wakati wa malipo. Na alipo wataendelea kuwepo?

Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com
Naye mtasema amehongwa?
Mtamgeuzia kibao na kuanza kumtusi kama ilivyo hadi yebu?
 
Kwa serikali kuwa na makabrasha ya Lowasa au TAKUKURU, hilo ni jambo la kawaida.

Ila kama Edward Hosea alishindwa kulifanyia kazi mafaili hayo wakti ule, basi huu ni wakati wake.

Na kama kuna vizuizi kwa TAKUKURU kwanini mzee mwenyewe asiitwe akajieleza, au akaomba kumuona raisi mwenyewe (kwa mujibu wa mkuu G Sam) ?

Edward Lowasa ni mtu mzito sana kwenye nchi hii lakini hawezi kuishinda serikali na kinachofanyika sasa ni damage limitation.

Na hiyo hatuwezi kuita ni blackmail kwani inakuwa inaingia kwenye ramsom kwamba unahitaji malipo ya fedha ili kupata kitu fulani.

Sasa raisi hawei kufanya blackmail.

Hapo tena tunakuwa tunapoteza maana ya mjadala.
Rais akimwambia Lowassa niunge mkono ama sivyo nakufanyizia na kuvujisha habari za uchafu wako na kukufunga, ukiniunga mkono nakuacha ufanye mambo yako bila tabu, hiyo ni blackmail.

Hiyo ni quid pro quo, nipe nikupe.

Magufuli is not above doing that.

From www.dictionary.com

black·mail

ˈblakˌmāl/

noun

1.

the action, treated as a criminal offense, of demanding money from a person in return for not revealing compromising or injurious information about that person.

"they were acquitted of charges of blackmail"

synonyms:extortion; More

verb

1.

demand money from (a person) in return for not revealing compromising or injurious information about that person.

"trying to blackmail him for $400,000"

synonyms:extort money from, threaten;

informaldemand hush money from

"he was blackmailing the murderer"
 
Ngoja nikuulize swali, hivi unaamini kabisa Mbowe hakujua chochote kuhusu uamuzi wa Lowasa kwenda Ikulu? Jaribu kuunganisha matukio, Raisi alikwenda kumjulia hali Mzee Kingunge na Mzee Kingunge akatamka yake siku iliyofwata Lowasa na Mbowe wakaonekana kwa Mzee Kingunge, leo hii Lowasa katia timu Ikulu, je unaamini kabisa Mbowe hakufahamu hili hadi aje akane kwamba siyo msimamo wa Chama?

Binafsi naamini kabisa kilichomkimbiza Lowasa chadema ni tabia mbaya na ujeuri wa Tundu Lisu, hasa kitendo chake cha kuisema nchi yetu na Raisi wetu tena nchi ya kigeni na vyombo vya habari vya kigeni ni kitendo cha kifedhuri na dharau dhidi ya Raisi wetu na nchi yetu, na kuna Watanzania wengi sana kama vile Lowasa ambao wamechukizwa sana na kitendo kile hata wale ambao walikuwa wanamhurumia Tundu Lisu!

Na amini msiamini anayeiua chadema ni siyo Mbowe bali ni Tundu Lisu, hili nililiamini siku zote na limetimia, Tundu Lisu siyo intelligent man na ndiyo maana anaingiza jazba kwenye Siasa bila yakutambua kwamba huwezi kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ na ukashinda, siyo kwa mfumo wetu huu, hivyo na bado muda utaongea wengi watamgeuka Tundu Lisu na atabakia mwenyewe labda na baadhi ya watu facebook!
TL is extremely arrogant! Sidhani amewahi hata kwa monitor wa darasa achilia mbali kiranja wa shule ya upili.
 
IO, Lowassa hatakuwa na heshima kwa nani tena akiamua kurudi CCM? Kwamba watu hao walikuwa wanamheshimu akiwa CDM lakini akirudi CCM hawatomheshimu tena? Je, walimheshimu kabla hajajiunga Chadema?
Kwenye politics kuna watu wanakuwa trusted, wewe uliaminiwa ukawa waziri mkuu ukaondoka halafu unarudi who can trust you?? Na yote mabaya uliyoyaongea utayafutaje? Hauented by your own words
 
hakuna mwanachama yeyote wa chadema ambaye anaweza kukasirishwa na uongozi wa mbowe

ni kama wote ni kama mbwa wa kufugwa ambao they will never bark to their masters

hawa wanachama hawa! wanaosifia kila kitu..aisee
Hujakosea, wanasema hata mbowe akiweka jiwe watalipigia kura. He is riding on the backs of these idiots.
 
Kwanza mkuu mimi siyo nzi.

Pili naomba niungane na Mbowe kwamba Lowassa kaenda ikulu kwa issues zake binafsi. Ila unaanzaje kumueleza rais wa kiafrika matatizo yako bila kisifia kidogo? Hivi Lowassa kaongea mambo mangapi? Kaongea dakika ngapi? Kasema reli, umeme wa striglers na elimu bure? Mimi ningepata shida sana kama angesema Magfuli ametengeneza ajira kila sekta ila kasema ukitengeneza reli unaajiri vibarua hilo nalo tujadili? Kasifia kuhusu demokrasia? Emb acheni. Tatizo ni watu wanakuuuza eti Lowassa amesifia?Wapi?Vingapi? Mbona hamsemi na Magufuli kamsifia Lowassa?
Mkuu kwa hiyo hata alichokisema Mbowe si sahihi kwamba Lowassa hakustahili kutoa Sifa kwa Mh. Rais? Naona leo ENL kapiga watu za uso.
 
Tunamtakia kila heri Lowassa katika kustaafu siasa.Ni muda muafaka arudi CCM.
 
Ngoja nikuulize swali, hivi unaamini kabisa Mbowe hakujua chochote kuhusu uamuzi wa Lowasa kwenda Ikulu? Jaribu kuunganisha matukio, Raisi alikwenda kumjulia hali Mzee Kingunge na Mzee Kingunge akatamka yake siku iliyofwata Lowasa na Mbowe wakaonekana kwa Mzee Kingunge, leo hii Lowasa katia timu Ikulu, je unaamini kabisa Mbowe hakufahamu hili hadi aje akane kwamba siyo msimamo wa Chama?

Binafsi naamini kabisa kilichomkimbiza Lowasa chadema ni tabia mbaya na ujeuri wa Tundu Lisu, hasa kitendo chake cha kuisema nchi yetu na Raisi wetu tena nchi ya kigeni na vyombo vya habari vya kigeni ni kitendo cha kifedhuri na dharau dhidi ya Raisi wetu na nchi yetu, na kuna Watanzania wengi sana kama vile Lowasa ambao wamechukizwa sana na kitendo kile hata wale ambao walikuwa wanamhurumia Tundu Lisu!

Na amini msiamini anayeiua chadema ni siyo Mbowe bali ni Tundu Lisu, hili nililiamini siku zote na limetimia, Tundu Lisu siyo intelligent man na ndiyo maana anaingiza jazba kwenye Siasa bila yakutambua kwamba huwezi kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ na ukashinda, siyo kwa mfumo wetu huu, hivyo na bado muda utaongea wengi watamgeuka Tundu Lisu na atabakia mwenyewe labda na baadhi ya watu facebook!


Xafi xnaa
 
Ngoja nikuulize swali, hivi unaamini kabisa Mbowe hakujua chochote kuhusu uamuzi wa Lowasa kwenda Ikulu? Jaribu kuunganisha matukio, Raisi alikwenda kumjulia hali Mzee Kingunge na Mzee Kingunge akatamka yake siku iliyofwata Lowasa na Mbowe wakaonekana kwa Mzee Kingunge, leo hii Lowasa katia timu Ikulu, je unaamini kabisa Mbowe hakufahamu hili hadi aje akane kwamba siyo msimamo wa Chama?

Binafsi naamini kabisa kilichomkimbiza Lowasa chadema ni tabia mbaya na ujeuri wa Tundu Lisu, hasa kitendo chake cha kuisema nchi yetu na Raisi wetu tena nchi ya kigeni na vyombo vya habari vya kigeni ni kitendo cha kifedhuri na dharau dhidi ya Raisi wetu na nchi yetu, na kuna Watanzania wengi sana kama vile Lowasa ambao wamechukizwa sana na kitendo kile hata wale ambao walikuwa wanamhurumia Tundu Lisu!

Na amini msiamini anayeiua chadema ni siyo Mbowe bali ni Tundu Lisu, hili nililiamini siku zote na limetimia, Tundu Lisu siyo intelligent man na ndiyo maana anaingiza jazba kwenye Siasa bila yakutambua kwamba huwezi kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ na ukashinda, siyo kwa mfumo wetu huu, hivyo na bado muda utaongea wengi watamgeuka Tundu Lisu na atabakia mwenyewe labda na baadhi ya watu facebook!
Wewe chizi, usimuingize TUNDU LISSU katika ujinga wako huu; huyo shetani wenu anayepiga watu risasi amewaroga ntie, mad dog!
 
Wengine tulijua hili litatokea. Lowassa ni mchafuzi nukta. Mbowe uliwadanganya wananchi sasa sijui utawaambia nini
Tamaa ilikuzaponza Mbowe....
 
Ngoja nikuulize swali, hivi unaamini kabisa Mbowe hakujua chochote kuhusu uamuzi wa Lowasa kwenda Ikulu? Jaribu kuunganisha matukio, Raisi alikwenda kumjulia hali Mzee Kingunge na Mzee Kingunge akatamka yake siku iliyofwata Lowasa na Mbowe wakaonekana kwa Mzee Kingunge, leo hii Lowasa katia timu Ikulu, je unaamini kabisa Mbowe hakufahamu hili hadi aje akane kwamba siyo msimamo wa Chama?

Binafsi naamini kabisa kilichomkimbiza Lowasa chadema ni tabia mbaya na ujeuri wa Tundu Lisu, hasa kitendo chake cha kuisema nchi yetu na Raisi wetu tena nchi ya kigeni na vyombo vya habari vya kigeni ni kitendo cha kifedhuri na dharau dhidi ya Raisi wetu na nchi yetu, na kuna Watanzania wengi sana kama vile Lowasa ambao wamechukizwa sana na kitendo kile hata wale ambao walikuwa wanamhurumia Tundu Lisu!

Na amini msiamini anayeiua chadema ni siyo Mbowe bali ni Tundu Lisu, hili nililiamini siku zote na limetimia, Tundu Lisu siyo intelligent man na ndiyo maana anaingiza jazba kwenye Siasa bila yakutambua kwamba huwezi kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ na ukashinda, siyo kwa mfumo wetu huu, hivyo na bado muda utaongea wengi watamgeuka Tundu Lisu na atabakia mwenyewe labda na baadhi ya watu facebook!

Mkuu mawazo yako ni ya mgando,Nchi inaibiwa kila siku,mikataba mibovu,maendeleo hayaonekani,,,,raisi anaminya demokrasia,unataka bado raisi asifiwe,kwani uzalendo ni kusifu raisi tu hata kama anaipeleka nchi kwenye matatizo..

Lissu ni mzalendo katueleza watanzania yale tuliokuwa hatuyajui,yale ambayo serikali yetu inayaficha kila siku,Lisu katufumbua macho,lazima kuwepo na uwazi baina ya wananchi na serikali,baina ya watawala na watawaliwa bila hivyo kunakuwa hakuna serikali bali kunakundi cha mafia...

Kikundi ambacho kinafanya kila njia ili kibaki katika madaraka,kikundi ambacho kinaweza kuua hata raia wake ili kuwafunga midomo,kikundi ambacho hakitaki kupigwa wala kupewa muelekeo
 
Back
Top Bottom