Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
kwahili tuache siasa. Jm umekuwa mbunifr na bumbuli kweli itafaidika na hasa ukichanganya na ubunge wako hapa mambo yatakuwa mazuri. wabunge wengine wajifunze hili by cdm member
bumbuli itafaidika vip?....
Akishindwa ubunge itakuwaje? Au ndio hiyo bumbuli project nayo itakufaa???...
Nakubali kuwa hilo wazo ni zuri na litasaidia wananchi if and only if wazo lingekuwa limezaliwa/limezalishwa na wanachi wenyewe na mbunge akajiunga nao ili kutoa support na ku-nurture ideas za wananchi kuwa reality...
turning peoples dreams to realities and not your dream to peoples realities.