Bumbuli Development Corporation announces new board of directors

Huyo mwingine Dr Najim ni tapeli tu kwanza ana kesi ya wizi wa kontena la shaba na jana katishia waandishi hapamfai hapo na huo uDR hapo kasema uongo huyo ni mganga wa kienyeji labda anataka hela zake
 
January makamba hajayajua matatizo ya wana-bumbuli angoje M4C ipite huko itamsaidia kujitambua zaidi.Hapo inaonyesha hajaongea na watu wa vijijini wakamueleza yanayowasibu.watu wa kijijini wana matatizo soooo basic DR.SLAA ndiyo maana anawa-win kiurahisi kwani anajua vema
 
Maundumula nakuunga mkono hata diwani mmoja wameshindwa kumuweka?makamba umechemka wengi hao wako bize sana kiasi ungemweka hata mwenyekiti wa halmashauri ingesaidia kwani angekuwa link kubwa coz anayajua matatizo ya wanabumbuli kuliko hao wasomi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

7. Dr. Najim Msenga
Dr. Najim is a native and resident of Bumbuli and one of the most successful entrepreneurs in Bumbuli township. Born and raised in Bumbuli, he has invested in trading, transport and housing in Bumbuli and gemstones business across Tanzania. He is the Executive Director of Najim and Company Ltd, and Kimmse Investment Ltd. ??In 1993 he was awarded the honorarium title of Doctorate after discovering the Green Sapphires in Tanga, Tanzania.
---> Katika watu kumi kamuweka huyu! Ni vigumu kuweka kila mtu, lakini ki ukweli amefanya kitu cha mfano kuliko kutokuwa nacho kabisa. Ni ngumu kumshirikisha kila mtu, lakini pia kulalia kwa CVs kubwa tu pia ni tatizo. Ila ukweli unabaki pale pale, Makamba amejitahidi kwa hili!
 
Kimajabu tu huyu jamaa anataka kupitishia bonge la vitu vya kifisadi huku kwa kutumia watu wasiojua mahitaji kamili ya wana-Bumbuli.

It might be intangible to local community.

Nani pale kijijini atauliza hela zetu. Naogopa
 
Kama mwanabumburi am stil waiting for it to materialize anything because kwa tathmin yangu you stil have alot to do in our constituency as the mass is in an indepth ignorance which makes them even ignore the role of education leave at all the others policies unazozileta
 
Sasa wewe Mark hapo umesifia nini kwa mfano. Badala utoe mchango unasifia - this proves the simple mind you have. JM needs your contribution on the board of Directors which he has appointed

Mi sijasifia na wala sijaiongelea hiyo board kwenye comment yangu... Nimeisifia hiyo initiative yake!!
 
Sidhani Kama tatizo ni uzungu AU CV! Bali ni huo muda to deal with your issues which frankly speaking need commitment and dedication of the highest degree. They can facilitate your corporation on the background but not as board members. Weka watu wenye touch na matatizo ya Bumbuli those who walked miles to get education and water while looking after goats during free time!
 
uuuuuuh hii ni nourma.Jamaa wanatisha na cv zao bt hii ni for finance searching purpose
 
Well-done JM... Wabunge wetu wa CDM wajifunze hilo kwa sababu lina manufaa ya muda mrefu kwa jamii husika!! Hata hivyo BDC tunasubiri kuona matokeo ya juhudi hizo, isije ikaishia kwenye makaratasi tu!!

Ni jambo nzuri, kuhusu wabunge wa CDM alianza Lema na Ardf ambayo imefanya vizuri na inafanya vizuri mpaka sasa.
 
hata kama tuna chuki zetu, what January has done deserves a huge kudos

tusikalie kubishana tu, we need to do something, sina hakika how much this will boost his constituency, ila naamini with this, transparency, more strategic thinking na kushirikisha "marafiki" kunaongezeka.

baada ya hili, sasa awe anaweka na ripoti za utekelezaji, finances na rend analyses ya since alipoanza hadi alipo sasa, hata akifanya once a year is fine, na kuwa na forums za kuhakikisha hili linadumu
 
Ingependeza zaidi kama kungekuwa na mkazi wa kawaida wa Bumbuli angalau mmoja. Hata hivyo, kwa sasa its too soon kupongeza au kulaumu, ila kinachoonekana ni kwamba wenzetu wa Bumbuli wamegeukia upande mzuri - whether upande waliogeukia ndio watakaoelekea is yet to be seen.
 
Ingependeza zaidi kama kungekuwa na mkazi wa kawaida wa Bumbuli angalau mmoja. Hata hivyo, kwa sasa its too soon kupongeza au kulaumu, ila kinachoonekana ni kwamba wenzetu wa Bumbuli wamegeukia upande mzuri - whether upande waliogeukia ndio watakaoelekea is yet to be seen.

Ila katika bandiko hili nimeona kitu very interesting - yaani January katika CV yake hajagusia kabisa kwamba amewahi kufanya kazi Ikulu!!! Kwa sisi pundits hapa tunaona taarifa muhimu anayotoa January ya kujidissociate na Rais Kikwete. Ni kama jinsi John McCain na Republicans walivyokuwa wanajitenga na Rais Bush mwaka 2008. "Watch this space..."

woorrdd
 
makamba jembe! nilisema na nitaendelea kusema.. makamba huwa anafanya.. hapigi domo..

Teh teh kafanya nini hapo emu acha upunguani wako mimi mwenyewe nina kampuni ya MAENDELEO kijiji kwetu nimejaza DIRECTORS wasomi na matajiri lakini hatujawahi kutoa ata DAWATI kijijini nadhani umenielewa wewe ZUMBUKUKU usipoelewa wewe wana jamvi hili wamenielewa.
 
Teh teh kafanya nini hapo emu acha upunguani wako mimi mwenyewe nina kampuni ya MAENDELEO kijiji kwetu nimejaza DIRECTORS wasomi na matajiri lakini hatujawahi kutoa ata DAWATI kijijini nadhani umenielewa wewe ZUMBUKUKU usipoelewa wewe wana jamvi hili wamenielewa.

amefanya mabadiliko mengi sana bumbuli!... na pia ana project endelevu! .....

- nipo kwenye thread ya maandamano ya waislam! wenzangu wakipigania haki zao .. ntarudi baadaye au nifate kule nikupe darasa huru
 
Hii ni foundation ya bumbuli kweli?labda mniambie Mb makamba ameanzisha foundation yake. Ilitakiwa iwe na wawakilishi wengi wa bumbuli,kuweka watu wa CV kubwa haimaanishi maendeleo kama hujashirikisha wahusika(bumbuli). Ungeweka wananchi wa kawaida then uwaongoze.
 
Hakuna anaye kujua bumbuli vizuri wote maskani Dar au uje ya nchi; Makamba mwenyewe kapelekwa na mbio za mwenye na uchaguzi .
 
Back
Top Bottom