Bumbuli Development Corporation announces new board of directors

Hongera Januairi. nina maswali mawili: kwanza, wanabodi wako watakuwa wanalipwa wanapohudhuria vikao au kufanya shughuli za BDC, AU ni wajamaa watakuwa wanjitolea? Pili, vikao vya bodi vitafanyikia Bumbuli au majuu? Tunakuaombea kheri.
 
Hivi kuna mtu anajua kwa nini huu mtandao wa BUMBULI imekaa kichogi chogi?

Mbona haina maelezo ya shughuli zao, wanafanaya nini na washafanya nini? Picha za uthibitisho na miradi yao na watu gani wanashirikiana nao na pesa zao wanapata wapi.


Kuna siri gani ndani ya hii BDC?

Kama huamini ingia humu kama utapata kitu.


Bumbuli Development Corporation... Coming Soon!

Hivi kweli inawezekana kuwa huu mwaka wa 3 hii kitu iko coming soon? Kwlei jamani? January unataka kutuambia nini hapa?

January hebu kuwa muwazi kidogo kwenye hili la Bumbuli
 
Kwanini ujiteue mwenyewe? Acha hizo dogo...peleka upumbavu wako huko kwa magamba wenzako
 
Let us wait and see,nina mashaka makubwa sana na hii project,inawezekana lengo ni zuri ila utekelezaji wake.
 
Let us wait and see,Dr. Munga kweli yupo Lushoto lakini hafahamu sana changamoto za watu wa Bumbuli,Dr Najimu kidogo amekulia Bumbuli na anafahamu mazingira yetu.

Ingependeza tungeona sura za wana Bumbuli,Cv za hawa wana Board kweli zinamvuto ila kwa faida ya nani,fedha zinapatikana hata kwa watu wa darasa la saba sema mchanganuo ukiwa mzuri na Integrity ya wahusika kila kitu kitaendanda.

Sitaki nionekane mkabila ila Mbunge wetu hawafamu wana jimbo ambao ni potential,Mwapachu amefanya nini hapo kwao Tanga ambacho watu wanaweza kujivunia,wengine siwafahamu ila jaribuni kutafuta watu ambao wata sound kwa wale wasambaa unless shirika ni lako kama ilivyo UTEGA na SHELUKINDO ambapo hadi leo Mh Mbunge umeshindwa kumtoa hapo.
 
Need we question the sustainability of this corporation, after JM is voted out!! It seems the inception of this corporation was politically driven! May I advise JM to involve seriously the residents of Bumbuli for ownership purposee, otherwise the difference between this corporation and individual corporation is tha same.

The idea is good, the path to the success idea seems to be hazy.
 
Jamaa anaakili sana ndomana wengi hawamuelewi. Kawa weka hao watu akivizia pesa za wafadhili ili afanikishe project yake sidhan kama mfadhil akiiona board of directors hii atakataa kutoa hela zake

Hao wazungu na wafadhili si wajinga kama wewe.......wanajua interest zao na jinsi ya kuzifanikisha......mtumwa wa akili wewe!!!!!!!! Mpaka leo unategemea hela ya mfadhili ikufanyie mambo madogo kama kujenga mashule na mabweni..........utanipa ban bure hapa!!!!!

Hii ni community development na ina approach zake....hii up-bottom haiwez kuwa sustainable as ina lack sense of ownership
 
Eurocentric mindset -mostly non residential who are extra ordinary are expected to be fruitful in the local village context..........m doubting!!!!!
 
Mh. Janauary, wanabodi wanasifa za kimataifa, ila wananchi wa Bumbuli hatuwafahamu kwa ujumla wetu. Take care mradi ni vema uka involve residents toka jimboni kwa asilimia 75% watu wapo, KWA MUDA INGIA KWENYE VITENDO ACHA MANENO.
 
jaman nawashangaa sana watu wanaoponda kila kitu huku JF ndio maana wakat mwngne vyama vya upnzan vinaonekana hamnazo...hivi ktk nchi hii ni mbunge gan kijana aliyewahi kujarbu au kuja na idea nzur kama hii...cha kwanza ili ni wazo si lazma lifanikiwe kwa asilimia 100% kwan january akfkia 50% ya lengo mbunge mwngne akaendeleza alpoishia itakuwaje?tuwe crtcal thnker tusponde kila ktu ili tuonekane sjui ndio wanamapnduzi fek....Congrts January mm kama kijana ulichofanya kmenifuraisha na nataka kujarbu kama yeye...viva January mnaoponda hamjui mnachofanya mwenzako akijarbu mkubali..conrts JM
 
Tayari kwenye ili group kuna mzawa wa bumbuli Dk. Najim.....na jukumu kubwa la hawa board member ni kushauri na kutafta wawekezaji na sponsors ili mirad ya maendeleo bumbuli iweze kutekelezeka bila kutegemea serikali e.g ya maji,umeme,barabara etc..so kama ni mzawa anayejua mazngra halisi ya bumbuli yupo
 
Safi Mh JM ila wacwac wangu ni bodi yako uliochagua kwani hapo mtu anayeifahamu Bumbuli ni Najim peke yake na huyu jamaa zaidi ya utajili wake cna uhakika kama anaweza kusimama ktk kazi hy kwa 7bu ya kiwango chake cha elimu,na wengine km umewateua kwa 7bu ya cv zao c vibaya ukachukua na wazawa wengine wajimbo letu ambao ni educated ili kujenga taswira na uaminifu kwa watu wa Bumbuli,THXS JM.
 
kwahili tuache siasa. JM umekuwa mbunifr na Bumbuli kweli itafaidika na hasa ukichanganya na ubunge wako hapa mambo yatakuwa mazuri. Wabunge wengine wajifunze hili by CDM member
 
having something is better than nothing actually involve your target people in a big percent
otherwise when you are out all your ideas will also be burried!
 
tayari kwenye ili group kuna mzawa wa bumbuli dk. Najim.....na jukumu kubwa la hawa board member ni kushauri na kutafta wawekezaji na sponsors ili mirad ya maendeleo bumbuli iweze kutekelezeka bila kutegemea serikali e.g ya maji,umeme,barabara etc..so kama ni mzawa anayejua mazngra halisi ya bumbuli yupo

for your info..huyu dr ni tapeli na mjanjamjanja wa kuuza madini...hana moral credibility ya kuwa humo na mbaya zaidi haishi hukooo kwenye grass roots. Kwa minajili hiyo ya uchaguzi wa wa wajumbe tunawiwa vigumu kuikubali bodi nzima na mradi mzima at ol.

Take care broda
 
jaman nawashangaa sana watu wanaoponda kila kitu huku jf ndio maana wakat mwngne vyama vya upnzan vinaonekana hamnazo...hivi ktk nchi hii ni mbunge gan kijana aliyewahi kujarbu au kuja na idea nzur kama hii...cha kwanza ili ni wazo si lazma lifanikiwe kwa asilimia 100% kwan january akfkia 50% ya lengo mbunge mwngne akaendeleza alpoishia itakuwaje?tuwe crtcal thnker tusponde kila ktu ili tuonekane sjui ndio wanamapnduzi fek....congrts january mm kama kijana ulichofanya kmenifuraisha na nataka kujarbu kama yeye...viva january mnaoponda hamjui mnachofanya mwenzako akijarbu mkubali..conrts jm

hivi kijana kama una-kumbukumbu nzuri..unakumbuka jinsi mbunge wa zamani wa nyamagana bwana law masha alivyoshindwa uchaguzi alihamisha kila kitu kutoka ofc ya mbunge wa nyamagana akidai ni vyake??....

Wewe unasemaje kuhusu makamba january na hiyo bumbuli project yake?...huoni kama ni mradi binafsi kwa familia ya the makambaz and not wana bumbuli?...akikosa ubunge anawapigia wajumbe wake wa bodi kuwa kampuni imekufa na anapotea na fungu alilopewa huko kwa wafadhili.

Wapi hapo waliposhirikishwa wauza matunda na wakulima wa bumbuli zaidi ya huyo tapeli mzawa wa bumbuli aishie dar?...mradi hauwagusi wana-bumbuli mojakwa moja zaidi ya kumilikiwa na wazungu plus wajanja wa dar es salaam.

next time you better think like a man...a grown up tanzanian..no longer a young tanzanian.
 
Back
Top Bottom