Bulembo: Hazina haina fedha za kutosha

Bulembo: Hazina haina fedha za kutosha

JK kakaushaaaaa hazina... na alaaniwe...!!!

Pia Bulembo sio msemaji wa serikali, ingawa ni vizuri kafichua siri... KUWA TREASURY iko ICU...

Laana unayo wewe ambae hata ukisoma huelewi. Soma post ya juu yako hapo ujibu hayo maswali wacha kiherehere dada.
 
Bulembo amejuaje mambo ya Hazina!?.Wewe mtoa hii mada unajua utaratibu wa Hazina kuwa na pesa?

Ngoja tusaidiane hapa kuondoa ujinga:

Kwa ufupi mmoja wa anayejua kuhusu pesa za Hazina na mwenye mamlaka ya kuzisemea ni kamishna wa bajeti wa wizara ya fedha.

Hazina ni wasimamizi wa mfuko mkuu wa serikali na akaunti yao ipo banki kuu. Banki kuu kila siku inapokea pesa kutoka TRA...maana wote tunajua kuwa TRA inafanya makusanyo ya kila siku.

Kutoka TRA pesa zinaingizwa Banki kuu kila siku. Na zikifikishwa Banki kuu, kila siku zinatoka kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya serikali. Utaratibu wa miaka yote huu.

Je, hoja kuwa Hazina ina pesa pungufu au kidogo imetoka wapi!? Je makusanyo yamepungua huko TRA? Au mlidhani pesa za serikali uwa zinatunzwa tu!?

Hoja za kujiuliza:

Kama Hazina haina kitu...mishahara ya mwezi huu tumelipwaje?

Kama Hazina haina kitu...bodi ya mikopo imepata wapi pesa ya kulipa wanafunzi wa elimu ya juu wa kuanzia mwaka wa 1 hadi wa 5 kwa vyuo vyote nchini?

Kama Hazina haina pesa...shughuli za serikazi zinajiendeshaje?

Ukijiuliza hayo maswali...utapata picha kuwa pesa zipo na zinaendelea kukusanywa kila siku, ila serikali ya awamu ya 5 imeamua kubana matumizi na kuongeza makusanyo zaidi ili ahadi za rais Dkt Magufuli zitekelezwe kwa wakatiikiwemo ya elimu BURE...tayari mashule yamepigwa MARUFUKU kukusanya michango ya aina yoyote kutoka kwa wanafunzi.

#HapaKaziTu
Mkuu kwani baba akiishiwa pesa huwezi jua? Hata kama hujui mshahara wake? Utetezi wako mwepesi sana, kwa sababu wa kisiasa.
 
Sasa kama serikali inakusanya na kutumia zote ina tofauti gani na kibarua anayelipwa kwa siku na siku akiumwa maana yake hakuna kula !.

Kinachoongelewa ni akiba na hata hizo zinazokusanywa kwa siku hazitoshi kwa matumizi yote ya msingi ya serikali. Ndio maana wanalipa mishahara na kudeal na issue jinsi zinavyoibuka na kuwa hot. Na ndio maana walishindwa kumlipa mkandarasi billion 7 ya kukarabati vifaa vya Muhimbili kwa muda mrefu mpaka akagoma. Na hata walipoamua kumlipa walimpoza kwa billion tatu tu ! Vile vile serikali kwa muda imekuwa ikikopa sana sababu matumizi yake yamekuwa makubwa kuliko mapato yake na nadhani hiyo ni moja ya sababu ya hizi measures za Magufuli.....Na kwa hali iliyonayo serikali itachukua muda kustabilize....

Ukiacha hayo madeni ya nje serikali imeshindwa kuwalipa makandarasi wa ndani kwa muda mrefu sababu hizo hizo za ukata. Mimi mwenyewe naidai hii serkali zaidi ya 50M na tangu mwezi May wananipiga sound tu....


Afadhali umemsaidia, ingawa sina hakika kama atasaidika.

Ulichokiongea kina mshiko kbsa na huyu jamaa kama kweli alikwenda shule na kuelimika atagundua udhaifu wake wa kukurupuka kujibu mada bila kuielewa.

Japo inawezekana hakutaka kujibu hoja bali alitaka ajitangaze kuwa yeye ni masters degree holder ingawa ufahamu wake hauwiani na elimu anayodai anayo, lkn ktk hilo sitashangaa sana maana wengi husoma kutafuta vyeti na si kupata elimu.

Nikushukuru ndugu kwakuwa umemsaidia.
 
Mwenyekiti wa jumuiya ya Wazazi CCM Abdalah Bulembo,ametoa tamko kuwa hazina haina fedha za kutosha,Mtanzania inaripoti katika page yake ya 7.Aidha Bulembo amesema serikali itabana matumizi yake ili kupata pesa za kuwaletea maendeleo wananchi.USHAURI:Bulembo kampeni zimeisha,tofauti majukumu ya serikali na aliyekuwa kampeni meneja.Usiingilie mamlaka husika

Mtu wa darasa la saba na mambo ya hazina wapi na wapi?
 
Mwenyekiti wa jumuiya ya Wazazi CCM Abdalah Bulembo,ametoa tamko kuwa hazina haina fedha za kutosha,Mtanzania inaripoti katika page yake ya 7.Aidha Bulembo amesema serikali itabana matumizi yake ili kupata pesa za kuwaletea maendeleo wananchi.USHAURI:Bulembo kampeni zimeisha,tofauti majukumu ya serikali na aliyekuwa kampeni meneja.Usiingilie mamlaka husika

Hivi yeye anaongea kama nani katika serikali?yeye si mtumishi wa umma.yeye ni mtumishi wa chama.
 
Darasa la Saba ni elimu kwa majority hapa Tanzania, na siyo kosa la 'msomi' wa elimu hiyo peke yake. Serikali yetu imechangia pia!! Na ukitumia darasa la saba Kama 'tusi' utatukana wengi, Kama wazazi wako, wajomba, shangazi, nk.
Pili: jikite kwenye hoja kistaarabu, mjibu mtu katika hali ya kuelimisha, tumia Masters na PHD zako kujenga wengine, na siyo kuwaponda!! #nimetumiadarasala7kushauritu!


Hapo mimi naona wewe ndiye masters degree holder kiufahamu na yeye ni drs la saba.

But inaweza ikawa kinyume chake kama mtatakiwa kuonesha vyeti.
 
Nenda kapumuliwe kisogoni huko...mtu wa kijiweni unajua nini!?

acheni matusi nafikiri anaongelea Minimum balance au angesema nchi inaongozwa kwa cash budget. Na huyo Bulembo nafikiri analinganisha Kikwete alipopokea nchi alikuta hazina kuna fedha chama kilipewa taarifa jk kachukua nchi balance ikiwa kiasi fulani sasa jpm kachukua kuna negative lazinakwa elimu yake ashtuke.
 
Mkuu kwani baba akiishiwa pesa huwezi jua? Hata kama hujui mshahara wake? Utetezi wako mwepesi sana, kwa sababu wa kisiasa.


Siyo kisiasa mkuu, hapo ni mwisho wa ufahamu wake pamoja na masters yake.

Hahahaaa!

Na kama yeye ni ke basi atakuwa na masters ya pi.chu.
 
Darasa la Saba ni elimu kwa majority hapa Tanzania, na siyo kosa la 'msomi' wa elimu hiyo peke yake. Serikali yetu imechangia pia!! Na ukitumia darasa la saba Kama 'tusi' utatukana wengi, Kama wazazi wako, wajomba, shangazi, nk.
Pili: jikite kwenye hoja kistaarabu, mjibu mtu katika hali ya kuelimisha, tumia Masters na PHD zako kujenga wengine, na siyo kuwaponda!! #nimetumiadarasala7kushauritu!
Ubarikiwe umenena kwa hekima sana,tusidharau watu kwa elimu zao.ujue haya wewe uliyesoma kuliko darasa LA saba je hiyo elimu yako umeisaidia vipi jamii yako au tujiulize wasomi ambao mmesoma hasa kwa kodi zilizolipwa kwa wingi na watu WA darasa LA saba ambao wengi ni wakulima.
Hao darasa LA saba wanafanya kazi ngumu kama kulina kwa jembe LA mkono,kusomba zege,uvuvi,kupika gongo,kuchunga mifugo kazi zao zote jua na mvua vyote huishia mwilini mwao.lakini cha ajabu hata hicho kidogo walicho kupata kwa jasho hukatwa kodi tena mnyonge huyo hukenua meno kwa furaha akijisikia furaha kulipa kodi.akitumaini kodi hiyo ikusomeshe wewe uje ulete nafuu ya maisha yao,
Leo umepata kadigii kako kwa kaelimu ka kuungaunga unapata kaajira kwenye kaofsi furani
 
Unamlaumu mtoa mada badala ya Bulembo aliyetoa taarifa kuwa hazina haina pesa za kutosha kuendeshea serikali hadi ikatolewa kwenye gazeti Mtanzania?
Tafuta hilo gazeti usome halafu ubishane na Bulembo.

Acha kujotoa ufahamu wewe?

mwambie arudi shule...itamchukua miaka mingi sana kuelewa mambo
 
Bulembo amejuaje mambo ya Hazina!?.Wewe mtoa hii mada unajua utaratibu wa Hazina kuwa na pesa?

Ngoja tusaidiane hapa kuondoa ujinga:

Kwa ufupi mmoja wa anayejua kuhusu pesa za Hazina na mwenye mamlaka ya kuzisemea ni kamishna wa bajeti wa wizara ya fedha.

Hazina ni wasimamizi wa mfuko mkuu wa serikali na akaunti yao ipo banki kuu. Banki kuu kila siku inapokea pesa kutoka TRA...maana wote tunajua kuwa TRA inafanya makusanyo ya kila siku.

Kutoka TRA pesa zinaingizwa Banki kuu kila siku. Na zikifikishwa Banki kuu, kila siku zinatoka kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya serikali. Utaratibu wa miaka yote huu.

Je, hoja kuwa Hazina ina pesa pungufu au kidogo imetoka wapi!? Je makusanyo yamepungua huko TRA? Au mlidhani pesa za serikali uwa zinatunzwa tu!?

Hoja za kujiuliza:

Kama Hazina haina kitu...mishahara ya mwezi huu tumelipwaje?

Kama Hazina haina kitu...bodi ya mikopo imepata wapi pesa ya kulipa wanafunzi wa elimu ya juu wa kuanzia mwaka wa 1 hadi wa 5 kwa vyuo vyote nchini?

Kama Hazina haina pesa...shughuli za serikazi zinajiendeshaje?

Ukijiuliza hayo maswali...utapata picha kuwa pesa zipo na zinaendelea kukusanywa kila siku, ila serikali ya awamu ya 5 imeamua kubana matumizi na kuongeza makusanyo zaidi ili ahadi za rais Dkt Magufuli zitekelezwe kwa wakatiikiwemo ya elimu BURE...tayari mashule yamepigwa MARUFUKU kukusanya michango ya aina yoyote kutoka kwa wanafunzi.

#HapaKaziTu

rudi shule...hujui unachokizungumza na wala hujui maana ya hazina kuishiwa pesa...kaongeze elimu ndio uje utetee hoja hapa.
 
Bulembo amejuaje mambo ya Hazina!?.Wewe mtoa hii mada unajua utaratibu wa Hazina kuwa na pesa?

Ngoja tusaidiane hapa kuondoa ujinga:

Kwa ufupi mmoja wa anayejua kuhusu pesa za Hazina na mwenye mamlaka ya kuzisemea ni kamishna wa bajeti wa wizara ya fedha.

Hazina ni wasimamizi wa mfuko mkuu wa serikali na akaunti yao ipo banki kuu. Banki kuu kila siku inapokea pesa kutoka TRA...maana wote tunajua kuwa TRA inafanya makusanyo ya kila siku.

Kutoka TRA pesa zinaingizwa Banki kuu kila siku. Na zikifikishwa Banki kuu, kila siku zinatoka kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya serikali. Utaratibu wa miaka yote huu.

Je, hoja kuwa Hazina ina pesa pungufu au kidogo imetoka wapi!? Je makusanyo yamepungua huko TRA? Au mlidhani pesa za serikali uwa zinatunzwa tu!?

Hoja za kujiuliza:

Kama Hazina haina kitu...mishahara ya mwezi huu tumelipwaje?

Kama Hazina haina kitu...bodi ya mikopo imepata wapi pesa ya kulipa wanafunzi wa elimu ya juu wa kuanzia mwaka wa 1 hadi wa 5 kwa vyuo vyote nchini?

Kama Hazina haina pesa...shughuli za serikazi zinajiendeshaje?

Ukijiuliza hayo maswali...utapata picha kuwa pesa zipo na zinaendelea kukusanywa kila siku, ila serikali ya awamu ya 5 imeamua kubana matumizi na kuongeza makusanyo zaidi ili ahadi za rais Dkt Magufuli zitekelezwe kwa wakatiikiwemo ya elimu BURE...tayari mashule yamepigwa MARUFUKU kukusanya michango ya aina yoyote kutoka kwa wanafunzi.

#HapaKaziTu

Hebu acha ujinga! Ukiambiwa hazina haina pesa,haina maana kwamba imekauka kabisa! Pesa inakuwepo lkn isiyokidhi mahitaji! Mishahara tena ya mwezi mmoja ni pesa ndogo sana ukilinganisha na mahitaji mengine ya serikali. Wewe kulipwa mshahara wa mwezi huu haina maana kwamba pesa zipo. Serikali lazima iwe na hazina ya kutosha hata kwa dharula!
Inapotokea watu wakasema hazina yetu haizidi siku 20 ujue hapo kuna tatizo,na ni sahihi kusema hazina haina kitu!
Kinachofanywa na Mheshimiwa Rais kwa sasa ni kujaribu kukusanya/kutunisha hazina ya Nchi ili serikali ifanye mambo yake kwa uhakika!
Ngonjera zako zinaakisi ujinga wako!
 
Bulembo amejuaje mambo ya Hazina!?.Wewe mtoa hii mada unajua utaratibu wa Hazina kuwa na pesa?

Ngoja tusaidiane hapa kuondoa ujinga:

Kwa ufupi mmoja wa anayejua kuhusu pesa za Hazina na mwenye mamlaka ya kuzisemea ni kamishna wa bajeti wa wizara ya fedha.

Hazina ni wasimamizi wa mfuko mkuu wa serikali na akaunti yao ipo banki kuu. Banki kuu kila siku inapokea pesa kutoka TRA...maana wote tunajua kuwa TRA inafanya makusanyo ya kila siku.

Kutoka TRA pesa zinaingizwa Banki kuu kila siku. Na zikifikishwa Banki kuu, kila siku zinatoka kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya serikali. Utaratibu wa miaka yote huu.

Je, hoja kuwa Hazina ina pesa pungufu au kidogo imetoka wapi!? Je makusanyo yamepungua huko TRA? Au mlidhani pesa za serikali uwa zinatunzwa tu!?

Hoja za kujiuliza:

Kama Hazina haina kitu...mishahara ya mwezi huu tumelipwaje?

Kama Hazina haina kitu...bodi ya mikopo imepata wapi pesa ya kulipa wanafunzi wa elimu ya juu wa kuanzia mwaka wa 1 hadi wa 5 kwa vyuo vyote nchini?

Kama Hazina haina pesa...shughuli za serikazi zinajiendeshaje?

Ukijiuliza hayo maswali...utapata picha kuwa pesa zipo na zinaendelea kukusanywa kila siku, ila serikali ya awamu ya 5 imeamua kubana matumizi na kuongeza makusanyo zaidi ili ahadi za rais Dkt Magufuli zitekelezwe kwa wakatiikiwemo ya elimu BURE...tayari mashule yamepigwa MARUFUKU kukusanya michango ya aina yoyote kutoka kwa wanafunzi.

#HapaKaziTu
Mimi kama mtumishi wa umma wa siku nyingi najua hazina hamna hela kutokana na uhalisia tunaouna. Zamani, enzi za mkapa na mwanzoni mwa enzi za Kikwete, hela za mgao wa matumizi ya kawaida na maendeleo zilikuwa zinatolewa kila mwezi, lakini kuanzia katikati mwa enzi ya pili ya Kikwete hali ikageuka kuwa mbaya, inaweza kupita hata miezi miwili bila hela kwenda huko zinakotakiwa toka hazina, na hata ikitoka baada ya miezi kadhaa huwa kuduchu kweli kweli. Sasa kwa hali hiyo tusemeje zaidi ya kusema hazina hali ni mbaya. Au zimejaa lakini serikali ya ccm inazichukua kwa matumizi ya ulafi.
 
Mwenyekiti wa jumuiya ya Wazazi CCM Abdalah Bulembo,ametoa tamko kuwa hazina haina fedha za kutosha,Mtanzania inaripoti katika page yake ya 7.Aidha Bulembo amesema serikali itabana matumizi yake ili kupata pesa za kuwaletea maendeleo wananchi.USHAURI:Bulembo kampeni zimeisha,tofauti majukumu ya serikali na aliyekuwa kampeni meneja.Usiingilie mamlaka husika

Mbona jana kuna mtu anaitwa john cheyo (ila siyo yule bwana mapesa)
amekuja kwenye vyombo vya habari kukanusha habari za kusema kuwa
hazina pako teee.....
 
Last edited by a moderator:
Darasa la Saba ni elimu kwa majority hapa Tanzania, na siyo kosa la 'msomi' wa elimu hiyo peke yake. Serikali yetu imechangia pia!! Na ukitumia darasa la saba Kama 'tusi' utatukana wengi, Kama wazazi wako, wajomba, shangazi, nk.
Pili: jikite kwenye hoja kistaarabu, mjibu mtu katika hali ya kuelimisha, tumia Masters na PHD zako kujenga wengine, na siyo kuwaponda!! #nimetumiadarasala7kushauritu!
Ubarikiwe umenena kwa hekima sana,tusidharau watu kwa elimu zao.ujue haya wewe uliyesoma kuliko darasa LA saba je hiyo elimu yako umeisaidia vipi jamii yako au tujiulize wasomi ambao mmesoma hasa kwa kodi zilizolipwa kwa wingi na watu WA darasa LA saba ambao wengi ni wakulima.
Hao darasa LA saba wanafanya kazi ngumu kama kulina kwa jembe LA mkono,kusomba zege,uvuvi,kupika gongo,kuchunga mifugo kazi zao zote jua na mvua vyote huishia mwilini mwao.lakini cha ajabu hata hicho kidogo walicho kupata kwa jasho hukatwa kodi tena mnyonge huyo hukenua meno kwa furaha akijisikia furaha kulipa kodi.akitumaini kodi hiyo ikusomeshe wewe uje ulete nafuu ya maisha yao,
Leo umepata kadigii kako kwa kaelimu ka kuungaunga unapata kaajira kwenye kaofsi fulani umeanza kumtukana WA darasa LA saba.
Wewe msomi una faida gani hapa Tanzania ninyi wasomi ndio mmeifikisha nchi hapa ilipo kupitia nafasi zenu na madaraka tuliyowapa mmetugeuka mmekuwa janga LA kitaifa mnaitafuna nchi kwa ufisadi na rushwa.
Badala ya kutuoa kwenye ujinga na umaskini kupitia elimu zenu mmekuwa mnatudidimiza kwenye shida zaidi kuliko huko nyuma.
Jiulize kwa nini hata baadhi ya watanzania wanatamani hata wakoloni warudi watutawale kuliko ninyi wasomi WA kitanzania ambao mmeonekana elimu zetu ni hovyo.
Kiufupi jitathimini Hamna tiza kwa taifa.hata mnapo kuwa mnadai kuongezwa mishahara mnaandamana sisi tunaumia ,mnadai masirahi mazuri je mnafanya kazi kwa weledi.kiufupi mnatuboa sana tena saba basi tu.Mungu atalipa machozi yetu
 
Bulembo amejuaje mambo ya Hazina!?.Wewe mtoa hii mada unajua utaratibu wa Hazina kuwa na pesa?

Ngoja tusaidiane hapa kuondoa ujinga:

Kwa ufupi mmoja wa anayejua kuhusu pesa za Hazina na mwenye mamlaka ya kuzisemea ni kamishna wa bajeti wa wizara ya fedha.

Hazina ni wasimamizi wa mfuko mkuu wa serikali na akaunti yao ipo banki kuu. Banki kuu kila siku inapokea pesa kutoka TRA...maana wote tunajua kuwa TRA inafanya makusanyo ya kila siku.

Kutoka TRA pesa zinaingizwa Banki kuu kila siku. Na zikifikishwa Banki kuu, kila siku zinatoka kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya serikali. Utaratibu wa miaka yote huu.

Je, hoja kuwa Hazina ina pesa pungufu au kidogo imetoka wapi!? Je makusanyo yamepungua huko TRA? Au mlidhani pesa za serikali uwa zinatunzwa tu!?

Hoja za kujiuliza:

Kama Hazina haina kitu...mishahara ya mwezi huu tumelipwaje?

Kama Hazina haina kitu...bodi ya mikopo imepata wapi pesa ya kulipa wanafunzi wa elimu ya juu wa kuanzia mwaka wa 1 hadi wa 5 kwa vyuo vyote nchini?

Kama Hazina haina pesa...shughuli za serikazi zinajiendeshaje?

Ukijiuliza hayo maswali...utapata picha kuwa pesa zipo na zinaendelea kukusanywa kila siku, ila serikali ya awamu ya 5 imeamua kubana matumizi na kuongeza makusanyo zaidi ili ahadi za rais Dkt Magufuli zitekelezwe kwa wakatiikiwemo ya elimu BURE...tayari mashule yamepigwa MARUFUKU kukusanya michango ya aina yoyote kutoka kwa wanafunzi.

#HapaKaziTu

Sasa Mleta uzi si kasema Source ni Mtanzania
Acha u Lofa Mkuu
 
Huyu bulembo kawa msemaji wa serikali siku hizi? Hii nchi kila mtu ni mfalme ilimradi tu uwe ccm
 
rudi shule...hujui unachokizungumza na wala hujui maana ya hazina kuishiwa pesa...kaongeze elimu ndio uje utetee hoja hapa.

Uwa sijibizani na vilaza. Shule nimetoka kitambo na kwa sasa natengeneza hela tu. Hivyo tafuta watu wa level yako na sio kila comment ya humu JF lazima uijibu.
 
Back
Top Bottom