Bulembo: Bajeti hii ni chereko chereko

Bulembo: Bajeti hii ni chereko chereko

Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".

Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.

MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
Hapo ndipo mwisho wa akili yake, kama elimu yake ndiyo inavyo julikana atawezaje kuipambanua bajeti. Jamaa yuko kama waandishi wa gazeti lile la kufungia vitumbua mitaa ya Kariakoo, maana nao walitoka na mpya jana.
Hawa jamaa wako kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.
Lakini tutatoboa....
 
Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".

Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.

MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
haya magamba ni shida....hiyo cherekochereko labda imo m@k@l10n1 mwake! watu wamekanadamizwa mpaka hawana pa kupulia halafu haya mafisi yanasifia ujinga!
 
Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".

Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.

MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
wasubiri kusherekea vizuri hiyo CHEREKOCHEREKO mwaka 2020. CCM wamewakaidi wahisani na wafadhili, sasa wamegeuikia kuwakanadamiza wananchi....haya mafisi ni ya kuogopwa zaidi ya UKIMWI.
 
wasubiri kusherekea vizuri hiyo CHEREKOCHEREKO mwaka 2020. CCM wamewakaidi wahisani na wafadhili, sasa wamegeuikia kuwakanadamiza wananchi....haya mafisi ni ya kuogopwa zaidi ya UKIMWI.
Mkuu pongezi kwa kuliona hilo
 
Hu
Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".

Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.

MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
huyu ni kama nape, ni opportunist kichwani kajaza gas ya mtwara
 
Akae kimya, kwa sababu hajafanya utafiti wa kkisayansi kuonesha kuwa ahadi zitatekelezwa.
 
Back
Top Bottom