Lakini mbona kuna minong'ono kwamba huyu bwana alikuwa anampiga vita Gavana ili, kwa msaada wa mafisadi aweze kurithi hicho kiti na hatimaye kuwasogeza mafisadi karibu na hazina ya nchi ili wanedelee na upigaji wao. This is surely a kick in the mafisadi's teeth.
Hayo maneno si kweli huyu bwana ndio alikuwa kikwazo kwa mafisadi kutaka kufanya vitu vyao pale benki kuu na ndio maana wamefanya kila waliloweza kutaka kumuondoa ili waweze kufanya vitu vyao kwani Ndullu ni mtu wanaeweza kumcontrol toka alipokuwepo enzi za Ballali!! Bukuku ni mtu tough sana na haingiliki na hao wanaosema ni mkabila hawamfahamu vizuri the guy is a professional pure and simple!