Kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kimemteua Dr. Enos Bukuku, Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania kuwa mmoja kati wa Manaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo.
Kwa uteuzi huu, Dr. Bukuku anaacha kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu.
Tunatumaini kwamba uzoefu wake katika utumishi wa umma na taaluma yake kama mchumi utaleta tija katika wadhifa wake mpya na kuipa fursa Benki Kuu kupata mtendaji mwingine ambaye ataitumikia kwa uadilifu, utii na bila kuleta mgawanyiko miongoni mwa menejimenti yake na hata wafanyakazi wa kada ya kati.
Kwa uteuzi huu, Dr. Bukuku anaacha kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu.
Tunatumaini kwamba uzoefu wake katika utumishi wa umma na taaluma yake kama mchumi utaleta tija katika wadhifa wake mpya na kuipa fursa Benki Kuu kupata mtendaji mwingine ambaye ataitumikia kwa uadilifu, utii na bila kuleta mgawanyiko miongoni mwa menejimenti yake na hata wafanyakazi wa kada ya kati.