Huu uzi wa kitoto sana. Halafu naona wana JF humu nao wamevutika kwa mjadala usio na tija. Mi natoka Lindi tuanze basi mjadala kati ya lindi na singidaKumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu