Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
@instanbul
sundoka
The Great Haya mmesikia ushuhuda wa mhenga kinusikwetu ?
Uzuri mmoja ukweli haufichiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawa jamaa mbona wanakaubaguzi fulani hivi! Sasa anasema Moshi ilikuwa Dora kamili na anasema ingeachwa, hajui kulikuwa na Dora za maana sana kuliko hiyo ya ukabila, nakupa Dora zilizokuwa zimeshiba Mkwawa (mkwava),
Huyu jamaa alitawala siyo wahehe tu.
Kuna kiboko mwingine anaitwa Mtemi Mirambo huyu alitawala sehemu kubwa sana pia alipigana vita nyingi sana.
Acheni ubaguzi wakikenya. Msituchafulie hali ya hewa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo amejitekenya mwenyewe. Hahahahaha kweli nyie watu mnahangaika kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo neutral SI mchaga Wala haya niambie wapi sijagusa? Mughana nimeenda kuhiji July last yr kule ndani chini kwenye chemchem nikatoka nikaja nje pale kwenye msalaba jiran na kanisa nikatoka nikaingia hospital nikarudi BK town uliza wapi BK nikupe jibu mpaka kyerwa yote, mutukura, rusumo, kyaka, k9, bmulo
 
We ulitoka kuhiji na unatuletea uongo hapa.kwanza huko mugana kuna majumba ya ajabu na pia uliona jinsi ukatoliki ulivyoshika haswa sio Kwa idadi Ile ya watu .mji wa bukoba unakauka gafla kisa imani Kwa bikira Maria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa umenitibua nakuletea picha mbalimbali za mitaa ya bukoba bila kugusa mjini Kati hata kidogo yaani suburbs ndo zinaletwa hapa sirudii picha please karibu.ukisikia bukoba ni pazuri ndo huku wanaposema.mkifika huko bukoba msiishie kashai na stendi tembea muone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Ni mtafiti huko mgana nilipita nikafanya na hija fupi hapo so naijua Tanzania yote na east Africa Hadi Central siyo naiponda BK hapana Bali napajua vyema huwezi linganisha BK na Ms hata kidogo shida yenu ninyi nshomile wajuaji tu "TINTI NANTALE EXCEPT GOD" imebidi nikupe na kipande Cha lugha yenu kidogo Kama umezaliwa juzi kaombe tafsiri kea wahenga
 
Yaan tumerudi nyuma hatua mia, tatizo ni ukosefu wa garden na miti kwenye majengo yetu, tupende kuweka garden, huwa zinapendezesha sana eneo.
 
Kanisa la kashozi lilijengwa mwaka 1892 na hadi Leo lipo huko bukoba unaweza ona mapaa yakeView attachment 1013063

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujidanganya kijana,hilo kanisa lingejenwa wakati huo lingekuwa kwenye historia ya ukristo Tanzania....,

Ukristo uliingia Tanganyika 1868 pale Bagamoyo na kujengwa kanisa la kwanza ukielekea Kaskazini mpaka Kilema 1880-85 palipo simikwa kanisa la pili then Kibosho 1892-93,baada ya hapo walijigawa wengine walitembea na reli ya kati mpaka Tabora ndipo walipotawanyika tena kuelekea lake zone hiyo ilikuwa 1900s....,sasa ukisema kanisa limejengwa 1892 ni uongo.

Ngoja niitafute hiyo historia ya kanisa kisha nii attach humu uone jinsi unavyopotosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…