Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Wanakera sana... Mijitu hai tulii ikapambana na hali zao kila siku kushambulia wachaga na kudharau makabila mengine... Bure kabisa...

Hii ni ishara kuwa Kilimanjaro ipo juu.....mti wenye matunda matamu daima hupigwa mawe......


Wapare oyeeeeeee

Wachagaaa oyeeeeeee.......


Kilimanjaro oyeeeeeee.....
 
Yaani ndugu yangu nikiangalia wanazoziita hotel nacheka mpka nakaa chini,wanajua hotel kweli au ndo uhaya unatumika kweli huo mji sio wakushindanishwa na Tarakea au Boma kweli tena Boma nitakuwa naitukana kwel
 
nilishamwambia yaan ana post vi lodge anasema at n hotel
yaan wanajifariji hawajui maana ya hotel
waende pale keys hotel,aishi hotel,snow view hotel,kindoroko nk wajue maana ya hotel
Me nimemuambia mbona anazopost ni nyumba za watu wa kawaida tu huku marangu akaona namkejeli mwambieni
 
Me nimemuambia mbona anazopost ni nyumba za watu wa kawaida tu huku marangu akaona namkejeli mwambieni
hahahaha tatizo LA hawa ndgu zetu n ushamba,kwao bukoba ndo sasa HIV kunakucha ndio wanaanza kujenga vi lodge wanaviita hotel
tuzidi kuwahurumia tu mkuu meku
 
Hilo jengo tulipe hili tu la Anna tibaijuka nyumba ya Anna hiyo ya kuishi
Hilo jengo wanaishi nyoka tu, na likiisha malizika uje upost tena na toka limejengwa lina muda gani hakuna kiumbe chochote
 
Yaani ndugu yangu nikiangalia wanazoziita hotel nacheka mpka nakaa chini,wanajua hotel kweli au ndo uhaya unatumika kweli huo mji sio wakushindanishwa na Tarakea au Boma kweli tena Boma nitakuwa naitukana kwel
afadhali mmeona
mm nishawaambia hawanielew,vi lodge wanasema hotel tatizo kwao ndo kuna kucha
 
Hebu na Mimi niweke la bunazi misenyi
Kitu gani hiki sasa majengo hayana watu ni magofu tu vumbi lote hilo kwa hapo tutalicompare na lile jengo la mama ana mkapa kama unaenda rau mdau mwenye picha zake amuwekee
 
Hilo jengo wanaishi nyoka tu, na likiisha malizika uje upost tena na toka limejengwa lina muda gani hakuna kiumbe chochote
We si umesema bukoba hakuna majengo hayo .shida mnaibeza sana na kupaponda bk sana hasa watu wakilimanjaro ndo maana tumeamua kuwaonesha bukoba halisi inayokua kwa kasi na kupanuka haraka .hilo jengo ni nyumba ya kuishi ya Anna tibaijuka ambayo aliijenga kwa heshima ya Mme wake aliyazaliwa hapo kibeta mlimani na wanaishi ndugu wa Mme wake
 
Huu mbona upo hai mkuu uwanja wa moshi huu hapa au unakataa Hai ndo kuna kia sio moshi
Ni sawa ni moshi airport lakin huwez ulinganisha na huo wa bk kwa idadi ya ndege zinazoingia na kutoka
 
Kitu gani hiki sasa majengo hayana watu ni magofu tu vumbi lote hilo kwa hapo tutalicompare na lile jengo la mama ana mkapa kama unaenda rau mdau mwenye picha zake amuwekee
nikimuwekea anaweza zimia
namsitiri tu ajifariji na vi lodge vyake anavyopost na kuviita hotel hahaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…