Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
MBONA KAMA BAR YA MASSAWE TOFAUTI NI HAYO MAANDISHI YA BUKOBA AIRPORT
 
Picha zenyew bk ni za kurudia rudia tu mara lile sijuu ni kanisa limewekwa mara 39 na majengo ambayo hayajaisha na vile vilodge anasema hotel wtf. Mbaya zaidi umejipanga kuanza kuzunguka ili urudi kubishana wakati picha zilishawekwa kitambo ukashindwa linganisha unarudi na zile zile. Kijiji cha alex massawe kibosho tu kinatosha kulinganisha na bk na chenchi ikabaki period
 
nilishamwambia yaan ana post vi lodge anasema at n hotel
yaan wanajifariji hawajui maana ya hotel
waende pale keys hotel,aishi hotel,snow view hotel,kindoroko nk wajue maana ya hotel
 
Kweli kabisa mtani yaani huyu jamaa ameamua tu kujitoa ufahamu wake.......

Mimi ni mpare lakini moyo wangu uko Moshi......

Kuna sehemu panaitwa kituo cha afya....lazima siku moja nifanye maamuzi magumu ya kuhamia hapo moja kwa moja.......
asante mtani alafu hapa tumesema wachaga tu je tukiunganisha na nyie wapare kwa maana ya mkoa wa KLM kagera itachukua miaka 60 kitufkia
 
asAnte mkuu kwa kumuumbua
aliweka ka picha ka banda LA chai at ndio mamsera haijiiu mamsera huyu
kaz yao sifa tu wakat mkoa wao n watatu kwa umaskin
Mamsera ilinganishwe na bunazi ya misenyi misenyi bunazi hiyo
 
kumbuka hapo hilo jengo alilo post lipo rombo tena eneo LA mamsera na sio moshi
kama rombo tu: IPO hivyo,tukiweka picha za moshi c mtazimia? ndoo maana tumeamua kuwasitir tukianza kuweka za moshi mtaukimbia huu uzi
Hebu na Mimi niweke la bunazi misenyi
 
Naenda Moshi, la sivyo wakimaliza kusalimiana wakaanza kupiga picha January 1, 2018 utashinda unang'aa macho kucheck mapicha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…