Aliyekwambia kwambia bukoba hakuna vyuo nani.bkb INA vyuo vinne carumuco, jocuco, karuko,na open .mji wa bukoba una hospital tatu kubwa ya mkoa,ya wilaya na moja ya binafsi,moshi labda wakiongeza vijiji vinavyoibana moshi ambavyo hakuna mji wakati bk hilo eneo limejengwa lote .acha kusema tu weka picha tuyaone hayo maghorofa unayoyasemaKwakweli BK mnajitahidi majengo no mazuri ila Ms kuilinganisha na BK ni mbingu na ardhi mji wa Moshi umeongezwa eneo kutoka km 58 mpaka 129km hivyo imeizidi BK karibu Mara mbili, pili Ms kuna vyuo vikuu zaidi ya 4 ktk mji kama huo huwezilinganisha na BK ambao hawana hata kimoja ,Ms kuna hospitali kubwa na chuo cha police hayo tuu yanatosha kuonyesha mji ulivyochangamka ulilinganisha na BK kuhusu mahoteli Ms inaizidi kwa mbali sana BK ,na kuhusu majengo kuna jamaa kasema Ms jengo no NSSF tuhuyo haijui Ms vizuri Kuna Kibo tower yenye ghorofa 10 ,kuna arshoo tower yenye ghorofa 13 kuna majengo mengi ya ghorofa 6,7,8,5 na kuna night club nyingi za ukweli sasa sijui unapata wapi haki ya kulinganisha Ms na BK nafikiri BK no ya kuilinganisha na Singida au Tabora
Tukileta mkoa mzima na mambo yaliyomo mtashangaa, mbona tunalinganisha miji ya moshi na bukoba sio hai,halafu kwenye mambo muhimu bk kuna uwanja wa mpira mkubwa na wa kisasa,bk ndo bandari ya pili ktk ziwa Victoria baada ya mwanza,viwanda vipo kama cha samaki Vic fish na Victoria fish,tanica coffee,yetu chai,kiwanda cha juisi mayawa,viwanda vya maji vinne bunena water,asilia,tanica water,na kabanga water,kagera sugar,na Victoria chalks nkMTU unapost uwanja wa ndege BK alafu unataka na Ms wapost uwanja wa KIA ulinganishe na wa BK ? KIA ambao una direct flight from Europe ,Turky ,Catary and many more .sasa nyie wahaya nitajie viwanda 5 tuu binavyopatikana mkoa BK alafu ulinganishe na Ms .jua Ms saizi yake ni Mbeya ,Tanga na nyie saizi yenu ni Musoma ,Singida na Tabora
MTU unapost uwanja wa ndege BK alafu unataka na Ms wapost uwanja wa KIA ulinganishe na wa BK ? KIA ambao una direct flight from Europe ,Turky ,Catary and many more .sasa nyie wahaya nitajie viwanda 5 tuu binavyopatikana mkoa BK alafu ulinganishe na Ms .jua Ms saizi yake ni Mbeya ,Tanga na nyie saizi yenu ni Musoma ,Singida na Tabora
Bukoba kwa mbali hiyo
asAnte mkuu kwa kumuumbuaAchana na washamba hao.....wanaokimbia kwao.....
asAnte mkuu kwa kumuumbua
aliweka ka picha ka banda LA chai at ndio mamsera haijiiu mamsera huyu
kaz yao sifa tu wakat mkoa wao n watatu kwa umaskin
wew rubisi ndio imekulewshaMbege imekulewesha wewe
at ndio bkba mjin utadhan kijiji cha kule moshiHichi ni kijiji gani...!! ??
at ndio bkba mjin utadhan kijiji cha kule moshi
ana ubavu huoNa kama hutojali naomba picha za uwanja wa ndege wa bk ukiwa na muonekano wa uwanja kama hapa KIAView attachment 658609 View attachment 658610
tena sio marangu yote pale mamba kisambo tu inatoshaHapa naparinganisha na marangu tu....
tena sio marangu yote pale mamba kisambo tu inatosha
kumbuka hapo hilo jengo alilo post lipo rombo tena eneo LA mamsera na sio moshiHako ka jengo hili linawatosha tu