Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Nataman ningempata mropokaji mmoja nimpeleke kamachumu na nshamba aone vitu migombani, achana na mhaya ww!!!
 
Una ajenda binafsi .. Kama kutangaza vivutio kwanini usiji compare na mikoa mingine kama arusha, mwanza au iringa , why KLM ??
Nikwa sababu unapima ukabila kutaka kujitutumua dhidi ya wachaga..

Waache hao wakenya watangaze kuwa klm ipo kwao mwisho wasiku njia yakwenda huo mlima ipo kwetu lango moja.. Watalii wote wanakuja kulala Moshi na wata panda wakiwa moshi na wata lipia hotel za moshi..Busara ya mwerevu ni ukimnya siyo sifa.. Badala ya kuacha shughuli zetu ktumia muda wetu kubwata kuhusu kLM wapo mabwege kama wakenya wana tu tangazia na hela inakuja ..wewe pia kama ilivyo ada ya sifa kwenu unaweza ukasema klm upo kwenu.. Chaga not bother at all... Asili yetu ni kutega kama kobe pesa iingiie kilaini ..kupitia wabwataji..
 
Povu jiingi alaf hamna point hiyo alitaka kuwaambia kwamba kilimanjaro wamelala wanshindwa kutangaza mlima wao wenye sifa nyingi mpaka wakenya wanautangaza ni wao, hii inawafanya watalii washukie Kenya na nyinyi mnaishia kuwaona watalii wakipita tu
 
Povu jiingi alaf hamna point hiyo alitaka kuwaambia kwamba kilimanjaro wamelala wanshindwa kutangaza mlima wao wenye sifa nyingi mpaka wakenya wanautangaza ni wao, hii inawafanya watalii washukie Kenya na nyinyi mnaishia kuwaona watalii wakipita tu
Read btn the line..
No need to respond in every post even where irrelevant is obvious..
 
Povu jiingi alaf hamna point hiyo alitaka kuwaambia kwamba kilimanjaro wamelala wanshindwa kutangaza mlima wao wenye sifa nyingi mpaka wakenya wanautangaza ni wao, hii inawafanya watalii washukie Kenya na nyinyi mnaishia kuwaona watalii wakipita tu
Eti the Great Haya.. Great un puu cleaner
 
Wapi nimekosea kukujibu??? Kwani watalii wengi si wanalala Arusha na kuja kupita hapo kwenu kwenda kupanda mlima??
Sasa kama wanalala arusha hawalali kenya whats is the problem?? By the way arusha na kilimanjaro zina ingiliana uchumi.. Na mahusiano ya kiuchumi kuliko inavyo thani.


Kama hujajua pia mahotel ya Moshi always yako booked ndio maana wafanya biashara ya uyalii wana cheulishina wateja.. Na usidhani watali wanatoka tu uko walipo bila kupumzika moshi ku cope hali ya hewa kwa masaa 48 ndio waruhusiwe ku kwea mlima ..siyo kama unavyo dhani kuwa nikufika kutoka uko arusha na kukwea mlima tu kama ilyo kuingia mbuga za wanyama..

Ulizeni mjibiwe acheni kujibaraguza hapa..
 
Nyie watu wa Bukoba na Mwanza, mna tatizo gani na mikoa ya Kaskazini? maana mnaiwaza sana, kila siku kulinganisha Mwanza vs Arusha, mara Bukoba vs Moshi, fanyeni kazi acheni upuuzi kulinganisha mambo ya mikoa kwani, mtanzania yoyote kila mkoa ni wake, mtu wa Moshi anaweza kuishi Bukoba, so Bukoba ikiendelea ni faida kwake pia, ugomvi wa nini?
Au ndio mnataka kuleta ukabila hapa? Pumbavuu sana
 
Na hii ni tangu tetemeko limetokea, juzi tu hapa! Shikamoo Bukoba
Na bado project zinaendelea nyingi bukoba hii ni shopping mall maeneo ya Lina's ahsante tetemeko na hii father's residents bukoba parish ahsante tetemeko na hili ni tawi jipya la finca bukoba transit hotel
 
Mnatuangusha sana wachaga hadi Kenya wanauiba mlima wetu ila kubali tu bukoba imeigalagaza moshi najua mijengo hiyo uliyoiona moshi haipo Mimi mama mkibosho
 
Povu kweli nyie wenyewe ndo mnaanzisha nyuzi kuibeza bukoba sasa tunataka kuwadhibitishia kuwa bukoba sio ya mchezo.tumechoka mpaka wengine wanalinganisha bk na babati,kigoma,songea,kahama,musoma nk.mulivianzisha wenyewe sasa hebu tuwalize na bukoba halisi ibayokua kwa kasi
 
Wewe jamaa utakuja uweke hata picha za vyumbani. Kagera sijui bukoba ni uwenda wazimu kuifananisha na moshi. Yaani kwa majengo tu lile eneo la hospitali ya kcmc ni zaidi ya mji wenu wote. Moshi na badhi ya wilaya za mkoa wa kilimanjaro kuna huduma nzuri za kijamii kulika mikoa yote labda dsm tu.

Ombi
Acha kufananisha Moshi na vitu vya kijinga
 
Picha blaza na bukoba kuna ihungo inayoizidi hata kcmc kwa ukubwa.bk ni kubwa kieneo kuliko moshi bk 90km za mraba.moshi 59.acha porojo zako et kcmc .ihungo INA maghorofa zaidi za kumi na nyumba 50 za wafanyakazi
 
Maneno ya nini mkuu?? Dhibitisha hayo maeneo mazuri kuliko bukoba sio unaongea tu, sababu kwa kuongea mtu ambaye haijui bk wala moshi atakushangaa unavokalia kuongea tu bila kumuonesha hayo maeneo
 
Duuuuu naweza sema naijuwa bukoba vizuri sana. Kuanzia BUKOBA MJINI, VIJIJINI, MISENYI, KARAGWE,nk.yaani kifupi naijuwa KAGERA. Kiukweli kuilinganisha BUKOBA MJINI NA MOSHI MJINI ni kituko sana. Labda mseme moshi haina fukwe za Ziwa tuu lakini vingine vyote hapana. Stendi yenyewe tope. Zikipaki gari kubwa 30 imejaa kabisa. Ivo ukiwa umeshatembelea na Moshi uje.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…