Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
 
Acha dharau za lining a njoo ujione vitu kama hivi ziwa la pili duniani kwa ukubwa na la kwanza Africa nzima utalii si mlima na mbuga tu ndo maana wanafika mpaka bk
Naona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
 
Endeleeni na ushamba hiyo ni haya museum.ukumbisho Wa maisha ya wahaya zamani acheni kusahau utamaduni wenu.ndo maana kihaya hakichuji
Utamaduni wakati mpaka leo watu wanakaa kwenye nyasi?
 
Msisahau kwamba Bukoba maendeleo na miundombinu yote wanabk wanajchanga hawaitegemei serikalini je utafikiri siku serikali wakiamua inakuwaje fikiria hata barabara maji wananchi wanajijengea serikali haiwapagi kipaumbele
 
Msisahau kwamba Bukoba maendeleo na miundombinu yote wanabk wanajchanga hawaitegemei serikalini je utafikiri siku serikali wakiamua inakuwaje fikiria hata barabara maji wananchi wanajijengea serikali haiwapagi kipaumbele

Moshi kitu gani kinategemea serikali kama kampuni za kitalii serikali haina, hotel hakuna ya serikali hata moja vyuo sio vya serikali kimoja tu ndo serikali ila maendeleo yanakuja kutokana na madiwani na manispaa yenyewe kutokana na ushuru na mapato ya mkoa kujenga barabara na huduma za kijamii ndio maana kuilinganisha bukoba inayosubiri ichangiwe na serikali na moshi ni kuikosea Moshi heshima
 
Naona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
Una uhakika ? Picha hiyo ni ya leo .meli za.mizigo bado zinafanya kazi.meli kubwa ya abiria. Ndo zinakosa.we wapi
 
Hoteli gani za maana zipo moshi nyingi zipo arusha. Sio moshi maskini moshi halafu porojo hatutaki .picha ndo kila kitu mnatuletea za miji mingine unafikiri hauifahamu moshi kwanza wanaiwekaga star TV kila siku
 
Inasubiri WAP wewe .fikira ni majan ga mangapi yameukumba mji lakini hauchoki kukua tetemeko limetokea hakuna aliepewa msaada tofaut na maji na biscuit. Ila 90% walishajenga.ushauri usicheze na natural calamities. Unalala tajiri unaamuka maskini omba yasikukute nyie mbona same mliomba msaada baada ya landslide
 
Waweke za bukoba zingine tofauti na lile kanisa, moshi tuwapige msumari wa mwisho
Eti ehh maskini hotel za uko zilivyo ndo maana wakenya wameuiba mlima hamjawekeza chochote mnazidiwa na hotel za bukoba mji usio Wa kitalii cheki
 
Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
Kwa taarifa yako kisiwa hiki kiliharibiwa na kukatwa na mabomu wakati Wa vita vya kagera kisiwa ni mtaa Wa manispaa ya bukoba pia majengo mengi kama makao makuu ya mkoa mtaa Wa uzunguni kulipuliwa mabomu na watu 15 walifariki.pia miaka michache baadae Bomu lilipuka tumaini shuleni na kujeruhi kuua wanafunZi saba na shule kuharibika pamoja na mingine useme maeneo yaliyotekwa ndo hayo uliyotaja.ila bukoba ilishambuliwa mno.ndo maana ndege nyingine zilishindwa kulenga vizr mji ukusikia hiz stories waulize wenyeji kabla ya kuongea
 
Hahahaha....kama kukaa kwenye nyasi kama mnyama pori ndio ujanja, acha niwe mshamba tu.
Shida waafrica mnadharau utamaduni wenu uliowalea na kutaka kujifanya wazungu uhayani hatukubali yatokee ndo maana kuna museum nyingi kama hizo
 
Eti ehh maskini hotel za uko zilivyo ndo maana wakenya wameuiba mlima hamjawekeza chochote mnazidiwa na hotel za bukoba mji usio Wa kitalii cheki
Hapo najionea vimajengo na vingine vigofu vya mbao sasa hiyo beach ama msitu
 
Hoteli gani za maana zipo moshi nyingi zipo arusha. Sio moshi maskini moshi halafu porojo hatutaki .picha ndo kila kitu mnatuletea za miji mingine unafikiri hauifahamu moshi kwanza wanaiwekaga star TV kila siku
Ha ha ha
hakuna picha ya tofauti na moshi hapo mjomba.niambie nikwambie ni wapi!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…