Nukta5 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,188 Reaction score 1,306 Dec 31, 2016 #902 Huo Uwanja wa Bukoba, utachukua miaka 30 kutua dude kama hili, hapo ni Kilimanjaro International Airport
Huo Uwanja wa Bukoba, utachukua miaka 30 kutua dude kama hili, hapo ni Kilimanjaro International Airport
mchome jr JF-Expert Member Joined Apr 9, 2015 Posts 599 Reaction score 748 Dec 31, 2016 #903 tuusan said: Bukoba kamwe hapawezi pagusa moshi. ... Moshi ipo kwenye mpango wa kuongezewa eneo na kuongeza miundombinu ya barabara na nyingnezo liwe jiji, Ni moshi na dodoma tu ndio zipo katika project hyo!!bukoba endeeleni kuota !! Click to expand... Kwa kweli ni ukosefu wa heshima,,adabu na akili kuilinganisha moshi na bukoba....moshi n level ya juu sana kwa bukoba...!
tuusan said: Bukoba kamwe hapawezi pagusa moshi. ... Moshi ipo kwenye mpango wa kuongezewa eneo na kuongeza miundombinu ya barabara na nyingnezo liwe jiji, Ni moshi na dodoma tu ndio zipo katika project hyo!!bukoba endeeleni kuota !! Click to expand... Kwa kweli ni ukosefu wa heshima,,adabu na akili kuilinganisha moshi na bukoba....moshi n level ya juu sana kwa bukoba...!
Nukta5 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,188 Reaction score 1,306 Dec 31, 2016 #904 Waweke za bukoba zingine tofauti na lile kanisa, moshi tuwapige msumari wa mwisho
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Dec 31, 2016 #911 lancanshire said: View attachment 452544 Click to expand... Ulikuwa wapi chalii yangu? Naona barabara zimepigwa deki hapo over USA asiyetaka akajitundike
lancanshire said: View attachment 452544 Click to expand... Ulikuwa wapi chalii yangu? Naona barabara zimepigwa deki hapo over USA asiyetaka akajitundike
Lancashire JF-Expert Member Joined Sep 20, 2014 Posts 14,082 Reaction score 10,454 Dec 31, 2016 #916 mdetichia said: Ulikuwa wapi chalii yangu? Naona barabara zimepigwa deki hapo over USA asiyetaka akajitundike Click to expand... Tulia niwanyooshe .sifa nyingi kumbe Hamna kitu
mdetichia said: Ulikuwa wapi chalii yangu? Naona barabara zimepigwa deki hapo over USA asiyetaka akajitundike Click to expand... Tulia niwanyooshe .sifa nyingi kumbe Hamna kitu
tuusan JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 17,973 Reaction score 20,222 Dec 31, 2016 #917 lancanshire said: View attachment 452695 Click to expand... Hii mbona kama chuga?
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Dec 31, 2016 #918 Nukta5 said: Waweke za bukoba zingine tofauti na lile kanisa, moshi tuwapige msumari wa mwisho Click to expand... Mmesahau na za makanisa wajichukulie ramani tunawapa bureee hatutaki hata sent tano yao hahahaa
Nukta5 said: Waweke za bukoba zingine tofauti na lile kanisa, moshi tuwapige msumari wa mwisho Click to expand... Mmesahau na za makanisa wajichukulie ramani tunawapa bureee hatutaki hata sent tano yao hahahaa
Lancashire JF-Expert Member Joined Sep 20, 2014 Posts 14,082 Reaction score 10,454 Dec 31, 2016 #919 tuusan said: Hii mbona kama chuga? Click to expand... Kibo palace Moshi
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Dec 31, 2016 #920 lancanshire said: Tulia niwanyooshe .sifa nyingi kumbe Hamna kitu Click to expand... Bado za makanisa na ile misikiti yetu mizuuri over maca
lancanshire said: Tulia niwanyooshe .sifa nyingi kumbe Hamna kitu Click to expand... Bado za makanisa na ile misikiti yetu mizuuri over maca