Rubisi pombe ya kihaya,senene za mbuga,ndizi za bk,na hali ya jewa nzur kama nini sijui beach za kumwaga,na uvuke border kwenda rwanda ug,pia miwa na visiwa vya ziwa kama msira,kerebe bumbile nk utaona lin meli weweHahaaaa rubisi, mbuga ndio nini embu dadavua
Hahaaa instanbull usikonde mwakani tuombeane heri mdau wachagaa tutajichanga hapa tutakupa offer ya kwenda Kilimanjaro tukutembezee vijiji wilaya na vitongoji vyoote ukirudi hapa utakuwa kiumbe kipya amini hivyo manake kwa sasa unapapasa tuWe huoni mandhari beach,cassino,na biashara ya hali juu.hata hivyo kaa ukouko unaogela bwawani
Meli hizi hizi au kuna mupyaRubisi pombe ya kihaya,senene za mbuga,ndizi za bk,na hali ya jewa nzur kama nini sijui beach za kumwaga,na uvuke border kwenda rwanda ug,pia miwa na visiwa vya ziwa kama msira,kerebe bumbile nk utaona lin meli wewe
Dimbwi la vyura hiloNaaam kuna sehemu za kwenda kutalii na kujifunza kama Arusha, Mwanza, Mbeya, Morogoro, Iringa, Shinyanga, Mara, n.k lakini sio huko mdau kama ziwa hata Moshi Nyumba ya Mungu lipo
Acha mbwembwe hamna kitu hukoHahaaa instanbull usikonde mwakani tuombeane heri mdau wachagaa tutajichanga hapa tutakupa offer ya kwenda Kilimanjaro tukutembezee vijiji wilaya na vitongoji vyoote ukirudi hapa utakuwa kiumbe kipya amini hivyo manake kwa sasa unapapasa tu
Mbona mna ghubu kama ndugu wa Mume kuweni wapole mtaelewa tu awali ni awali.Acha mbwembwe hamna kitu huko
Dimbwi la vyura hilo
karibu tunywe mbege huku kilemaBK bado sana Mkuu ukiilinganisha na Moshi.............Moshi inaweza kujitawala kama free state na mambo yakawa shwari lakini siyo BK.
Kilema kuna mbege?...........Kuna siku tulikuwa Kibosho hospital tulikunywa mbege hadi leo naikumbuka sana.karibu tunywe mbege huku kilema
mbege first quality ni ya rombo ya pili kibosho ya tatu maranguKilema kuna mbege?...........Kuna siku tulikuwa Kibosho hospital tulikunywa mbege hadi leo naikumbuka sana.
HUWA HATUPOST BILA KUFIKIRIA....LABDA NIKUULIZE UNAJUA MAANA YA NENO "KASUMBA".... USIPANICK UTAONEKANA WAKUJADadako siyo malaya!!!au wa kabila lako siyo makahaba!!! Mbona wamo wengi makabila ya katikayi mwa nchi sema mmekalili vibaya!!! Revist your information
Umefanya nimkumbuke rafiki yangu wa Rombo[wenyewe wanajiita Rombian] yaani huyu jamaa siku haikupita bila kutaja neno 'mbege'..............BTW natarajia kufika Rombo mwezi May mwaka ujao, lazima nikapige hiyo kitu.mbege first quality ni ya rombo ya pili kibosho ya tatu marangu
ukisema chafuMoshi nimeishi miaka 15 nasasa nipo Bukoba miaka 8 lakini huwezi kuifananisha na Bukoba Manispaa chafu kuliko dampo
aliyepost hiz picha amechemka sana kwenye ile picha aliyosema katikati ya manispaa. Hiyo picha hapo sio Moshi bali hapo ni Mwanza round about ya regional drive, police central mwanza, ccm mkoa mwanza, makongoro/aiport road, kenyatta road na nyerere road na bot mwanza
Jango la NSSF KILIMANJARO
KILIMANJARO MOUNTAIN
Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
Katikati ya manispaa
Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Mkuu moshi hamna kitu sasa angefanyejealiyepost hiz picha amechemka sana kwenye ile picha aliyosema katikati ya manispaa. Hiyo picha hapo sio Moshi bali hapo ni Mwanza round about ya regional drive, police central mwanza, ccm mkoa mwanza, makongoro/aiport road, kenyatta road na nyerere road na bot mwanza
sio tetemeko tu hata Idd Amin pia ile vita ya kagera aliwahi kuiharibu bukoba yn kama sio majanga bkb na jamaa wake wangekuwa vizuri zaid ya hapo, ila bk bwana kwa majanga mara ukimwi, kagera war, mv bukoba, mnyauko, sasa tetemeko yn ni shida tupu mpaka watu wanaogopa kuwekeza huko sasaBukoba pamoja na kutwangwa na tetemeko bado iko vizuri
Mbwenu buraza nkugambile ekintu omuhaya niwe muntu wa mbele kugya bulayaUna magezi kweli, leta mzigo akina manka waendelee kuisoma namba
Mugambile etatizo bagamba mbalwanaUmelazimishwa kuongea mpaka uongee usivyovijua????
Povu la nini??? Hamna zaidi ya kusema usafiMbona mna ghubu kama ndugu wa Mume kuweni wapole mtaelewa tu awali ni awali.
aliyepost hiz picha amechemka sana kwenye ile picha aliyosema katikati ya manispaa. Hiyo picha hapo sio Moshi bali hapo ni Mwanza round about ya regional drive, police central mwanza, ccm mkoa mwanza, makongoro/aiport road, kenyatta road na nyerere road na bot mwanza
Hujawai fika miji uliyotaja hata mmojaaliyepost hiz picha amechemka sana kwenye ile picha aliyosema katikati ya manispaa. Hiyo picha hapo sio Moshi bali hapo ni Mwanza round about ya regional drive, police central mwanza, ccm mkoa mwanza, makongoro/aiport road, kenyatta road na nyerere road na bot mwanza