Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
"E="instanbul, post: 19067453, member: 372401"]Viwanda bk ni vingi kuliko moshi asilia water,kagera sugar,yetu chair,Mali juice,tanica,bunena water,tanica water, kyaka milk,diva mafuta nk
"kama MNA viwanda vingi mbona halmashauri ya moshi inaingiza mapato mengi kuliko bukoba?
ingia web ya tra uone
pia mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajivunia nn[/QUOTE]
Kagera ni kubwa watu wake ukubwa unaifanye mapato ya bk yamezwe.na wilaya kama biharamulo, ngara,na kyerwa ambazo ni wilaya maskini na misenyi ambayo ni wilaya change.pia majanga kama tetemeko,na kuwa mbali na tz ndo maana ni maskin


Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
"E="instanbul, post: 19067453, member: 372401"]Viwanda bk ni vingi kuliko moshi asilia water,kagera sugar,yetu chair,Mali juice,tanica,bunena water,tanica water, kyaka milk,diva mafuta nk
"kama MNA viwanda vingi mbona halmashauri ya moshi inaingiza mapato mengi kuliko bukoba?
ingia web ya tra uone
pia mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajivunia nn[/QUOTE]
Nyie mna Kilimanjaro

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha naona bado mnatoa hints zakutosha, watakua washaelewa lazima, bukoba me moshi bado sana na katu haitaigusa
 
angalieni moshi inachangia kiasi gani kwenye pato la taifa !!!!!!!!!!!!!!!! kulinganisha na bukoba kusoma NI KUELEWA KUKESHA MBWEMBWE
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Bukoba ni zaidi ya Moshi. Ninaipenda Bk katika hali zote.
 
So far so good! Nilitaka niwashauri mjaribu kuwasikiliza wale waliowahi kufika hayo maeneo yote mawili ndo mtapata mnachokilenga la sivyo naona wadandiaji ni wengi sana. Utaongeleaje kitu usichokijiua na hata hujawahi kufika?

NB: Hiyo ni Kagera ( Bukoba) katika picha ilivyo leo bado haijajengwa hata barabara, bado usafiri wa meli hakuna, bado stand hakuna. Imagine hivyo vitu vingelikuwepo leo make soon vitakuwepo, nipe tu picha patakuwa pana sura gani. Kuna mambo mengi ya kutizama na kupima ukiachia majanga yote yaliyopita pale bado unaweza ukafeel vipi isingekuwa yalitokea unafikiri leo hii Bukoba ingekuwa inalinganishwa na nini ..labda Tanga/Mbeya.

Na ukiangalia ukuaji wa hii miji miwili kwa miaka kadhaa ijayo unaona miji miwili tofauti lakini moja ikiwa na nafasi ya kukua zaidi kuliko nyingine as upande wa magh. wa Nchi yetu una link inayokua na kuimarika kwa kasi kama rasrimali zitaanza kutumika kwa kuunganisha mipaka ya nchi na mikoa ya ukanda huo. Mnahitaji kuongea kwa kutizama mambo hayo hata kama leo itakuwa ama inalingana ama hailingani kwani kwa kila mkoa kuna vitu fulani muhimu ukilinganisha na pengine na vinaonekana kwa macho. Anza na vyuo, barabara, majengo, huduma, mandhari, ukubwa wa eneo, wingi wa watu, biashara, mvuto wa macho n.k
 
Bukoba tena cheki inawagalagaza nyie mnaweka nssf tu. Victorious hotel hiyo jamhuri road mkombozi bank benk ya posta na tra jengo la hazina ndizi round about vodashop bk Rc cathedral kcu akemps bk airport
 
"kama MNA viwanda vingi mbona halmashauri ya moshi inaingiza mapato mengi kuliko bukoba?
ingia web ya tra uone
pia mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajivunia nn
Kagera ni kubwa watu wake ukubwa unaifanye mapato ya bk yamezwe.na wilaya kama biharamulo, ngara,na kyerwa ambazo ni wilaya maskini na misenyi ambayo ni wilaya change.pia majanga kama tetemeko,na kuwa mbali na tz ndo maana ni maskin


Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app[/QUOTE]
Elewa kwanza mada, hapa ni bk na moshi sio kagera vs kilimanjaro
 
Chamecha meku nyingine naziona za vijijini kabisa marangu mtoni hembu wawekee na zile hotel za vijijini kabisa waone yaani hawa machalii kweli wanajaribu kukutanisha mbingu na ardhi maajabu haya
Nyie sijui ni viroba au?? Hapa mada ni bk vs moshi sio kagera vs kilimanjaro
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…