Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kuna amani Hanna matukio ya uhalifu pia watu wa kule wakarimu sana sio wabaguzi kama unavyoonagaga jamii za wamasai, wameru na wachaga kdg kule arusha
Wanakata Kolomeo hao Wahaya acha kabisa
 
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
 
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
Matusi ya nini kiwanda cha balimi so kipo mtaa Wa national housing karibu na secondary ya kashai na kiwanda cha asilia maji. Mkoa Wa kagera kupitia wilaya ya ngara unapakana na Burundi na ziwani kenya
 
Vitu vya ajabu wakati kuna picha watz tubadilike
 
Wahaya tunawajua hamiishi kujisifia sema sisi hatuna shida na mtu watulivu
 
Embuu mnatuaibishaa mosh unalinganishaa na arushaa embuu tuachen na nyiee atuna uo mdaa
 
Baada ya huu Uzi anzisheni wa Sumbawa nga vs. Lindi
 
Mkuu mbona Tabora sijaiona hapo!!!
 
Haha bukoba vipi barabara na mipango miji
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…