Stendi kama Nyegezi?Majengo ya serikali ni ya wale wahindi waliopo migeyo umefika miembeni wewe,kashura kibeta,rwamishenye,jamhuri road,kashozi road, hamugembe je nshambya mafumbo, kahororo,ihungo jee bk haufahamu kumbe kufika stend ya bukoba ni kama nyegezi na mwanza bk hauifahamu hizi hotel za serikali?tembea uone bkb kwanza majengo hayo mengi ya zamani yalitetemeshwa sasa hivi yanajengwq mapya so ya serikali-gallery/0a6e11f12dc249274197e0cfd4f92762.jpg[/IMG]
Diana LukumayTuachane na kodi tuje ktk walimbwende WENYE wa kaskazini na MAENDELEO kwa uchache:
Shose sinare
Nancy Sumari
Theresa Shayo
Shose Sinare
Hoyce Temu -dada wa shoka
Kumbe watu umu mnabisha tu kumbe ata kufika sehem husika bado.hizo picha ni za moshi nahiyo round about inatunzwa na boniteMjomba, acha utapeli hapo umeweka picha za miji mingine unadai ni Moshi, acha hizo, hakuna malipo hapa.
Picha unayoita katikati ya Manispaa ni picha ya Mwanza mjini, kwenye sanamu ya Nyerere, katikati ya mkutano ya barabara ya Nyerere na Kenyatta kwenye mzunguko jirani na Tunakopesha Limited na njia panda ya kuelekea Police Central na bandarini. Kwa mbali hospitali ya Bugando inaonekana.
Picha nyingine mbili za juu, mojawapo ipo chini ya ile unayoita ni round about ya KCMC, pia siyo ya Moshi. Hiyo na ya chini yake ni picha za Iringa, zilizopigwa Juu ya usawa wa MR Hotel, zinazoionyesha Dodoma Road, kwa mbele inaonekana Kalenga Hotel na ghorofa la Asas kama unapandisha kutokea Manispaa kuelekea Mlandege kupitia uwanja wa Samora.
Mjomba nasikia nyie mnapenda sana magumashi, nilidhani ni kwenye mtonyo tu, kumbe hata picha mko radhi kuduplicate ili kuwin argument!
Mimi sina upande ila uongo ndo uache maana humu siyo wote hatujaitembea vizuri nchi yetu. Ukipenda ongeza na za Mbeya ili ushinde zaidi. Maana Nahisi pia umepost nyingine za Tanga na Arusha
Nampongeza wa za Bukoba kwani yule yeye hajaongeza za miji mingine.
Excise and Custom duties nazo ni mlima? Mbona hata hapo Moshi imeipita kwa mbali BukobaMoshi mji wa kitalii ila bado aisee, wanajipa misifa mingi tu. Kwa upande wa mapato ni kwa sababu ya mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi za kigeni vinginevyo hamna jipya, let's be realistic!!!!!
Hiyo ni moshi bwana hilo jengo kushoto pembeni ya round about ni crdb moshi branch. Bisha kitu unachojuahii sio...hiyo roundabout sio....navyojua za Moshi zina Garden iliyo vizuri
Haahha ila mkuu umenichekesha sana, Kibeta kuna nini? Na Nkindo si ipo BK vijijini...hata ingekuwa mjini kuna nini pale?Shida wanaishia one way tu na uswaxi ni sawa na kufika mwanza na kuishia mabatini kwenye lodge umefika kashura, ukaona kibeta jee,nkindo,nyamukazi, bandarini custom nk,hotel kama coffee,bugabo,ruhunga,prince motel,sky,victorious,upendo,kolping ,walkguard,kiroyera,stalla,elct,lake view nk
Mkuu unajua kuna mijitu inapenda kubisha wakati haijawai kufika sehemu husikaCHAZA anasema Moshi hapajapangika
Mbona unaweka na picha za Iringa na Mwanza?
Jango la NSSF KILIMANJARO
KILIMANJARO MOUNTAIN
Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
Katikati ya manispaa
Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Hahaaa Bukobaaa hawa jamaa nawachekiii hata sijui nisemeje ila kwenye wilaya muleba wamejitahidi sana kujenga nyumna bora na nzuri .Bukoba Airport Vs Kilimanjaro AirportView attachment 451317View attachment 451318View attachment 451319View attachment 451320View attachment 451321
Jamaa kanishangaza kweliMoshi kumepangika vizuri
Usiiweke Dar kwenye ujinga wa aina yoyoteBukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Ubishi wake hauna tija achana naeJamaa kanishangaza kweli