Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Bk ni mbali we we unafikiri kuna umbali saw a na moshi na dar.lakini bk haitegemei sana dar inategemea sana Kampala km 250 kutoka bk,na mwanza km 250 ,ndo maana kuna mabasi mengi ya mwz to bk.ndege za mwz to bk,ndo maana tunaitaji meli,kipindi cha zamani tulikuwa na meli ,5 kati ya mwz,Kampala na bk mv bk,Victoria, kishimba,serengeti ,na mpina hivyo bukoba na dar havitegemeani sana kwanza nauli elfu 60000 so bora ukanunue kiwanja bk ukajenga nyumba milimani.
 
Moshi mji wa kitalii ila bado aisee, wanajipa misifa mingi tu. Kwa upande wa mapato ni kwa sababu ya mlima kilimanjaro unaingiza pesa nyingi za kigeni vinginevyo hamna jipya, let's be realistic!!!!!
 
Unafikiri wahaya hawajajenga vijijini ingekuwaje wote wangejenga bk, bk kuna wanyarwanda wengi na waganda,ndo maana IPO hivyo shida bk watu wanapasikia tu.
 
Picha mkuu
 
Kwa wanaoangalia quantity kama maendeleo basi Moshi iko juu lakini kwa wale wa quality kama njia ya maisha Bukoba iko juu. Alafu hapa kuna Mlima Kilimajaro ambao ni natural gift na pia Bukoba ina Ziwa Victoria na hali ya hewa isiyoweza kulinganishwa na popote maana sio baridi wala joto mwaka mzima.
Natabiri huu mjadala utakuwa mrefu na utafunua siri nyingi za Bukoba zilizokuwa hazijulikana hapo kabla maana BK aka 'blessed kingdom' is just a sleeping giant na siku ikiamka wakatengeneza mitaa na barabara, sijui!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…