britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,216
- 41,823
Ubinafsi ..hamna umoja, kila mtu anataka awe superstar😁Nashindwa kuelewa ni kwanini wahaya na misifa yoote hii mijini lakini Bukoba pako very very backward.
In fact hata kamji ka wilaya kama Kahama kako better off by far kuliko Bukoba.
Wahaya mnakwama wapi?
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila Nyie ndugu zetu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!kiingereza kingi, nshomile ing'ambo miaka ishatu!, mugambire inafu!.Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
Hahaha, Sasa wamuendelezee nani na wao wako huku majuu?Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila ndugu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!
Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)
Wawawake wenu ndio wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!
Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)
Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!
P
Haha dahJapo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila ndugu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!
Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)
Wawawake wenu ndio mabingwa wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? na wafanya biashara wa kwanza wa ile biashara, proceed za biashara hii zinafanyia nini?!
Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)
Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!
JPM kawajengea uwanja Chato hamuutumii!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! mpewe nini?!.
P
Duuuh.....Hivi Kuna university ngapi Bukoba?
Kuna taasisi yeyote ya Utafiti Bukoba? Taasisi za taifa kama NIMR na nyinginezo za kimkakati zilitakiwa ziwepo huko.
Nyerere ni baba wa taifa ila kosa kubwa alilofanya ni exploitation ya makabila makubwa kama Sukuma, Haya, Chagga, Nyakyusa.
Bila falsafa na ubaguzi wa CCM dawa ya UKIMWI/VVU ingekuwa imegunduliwa na watafiti ambao ni smart, intelligent na genius kutoka Bukoba na Kanda ya ziwa kwa ujumla.
Unajua kwanini? Sababu HIV/AIDS ilianzia na kuwapiga kule kwa hiyo wangewezeshwa na kuwa na rasilimali wangetumia maarifa yao vyema kutafuta dawa usiku na mchana na ingepatikana na kuisaidia Dunia.
Kutokana na vita ya Kagera. Bukoba ingekuwa ndio kitovu cha kutengenezwa silaha na nuclear power plant kule.
majanga makubwa ya asili yametokea huko Bukoba mfano tetemeko n.k. yangekuwa ndio chachu za tafiti na kuzalisha wataalam
Ukweli ni kwamba kama kusingekuwa na exploitation Tanzania ingekuwa mbali sana katika nyanja zote katika uchumi na hata teknolojia kwa kutumia rasilimali watu wenye uwezo na maarifa.
Sema ukweli wewe Mzee baba. CCM ndio waasisi wa kudanganyana. 🤣Duuuh.....
Muda mwingi nadhani JF tunadanganyana saana.
as long as byabato (former) alipata chake, na sasa amesepa. CCM members wanapata 10, 10 za rushwa, basi kila mmoja na lwake. Umoja wao ndio utaiamsha ccm kuwafanyia yote uliyoyasema.Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
Naunga mkono hoja, hata kautafiti tuu kugundua kwanini Wahaya wana very much high IQ, kama ni kula ndizi, au zile nsenene watu tule , hata ile siri kwanini wanawake wao wanakolea sana kwenye mambo yetu yale,Wanawake wengine wote Tanzania wajifunze nao wakolee !,jirani zetu Uganda wanatawala soko la hii biashara Dubai!, kuna siku niko Dubai,nikapelekwa mahali kupata mlo, nikaelezwa ni wapishi ni Baganda, kufika kumbe wengine ni dada zetu lakini ili wabambe soko,wana ji brand Baganda!Hivi Kuna university ngapi Bukoba?
Kuna taasisi yeyote ya Utafiti Bukoba? Taasisi za taifa kama NIMR na nyinginezo za kimkakati zilitakiwa ziwepo huko.
wewe pascal, acha hizo! nani kakudanganya. Kumbe mtu mzima unasema uongo?Naunga mkono hoja, hata kautafiti tuu kugundua kwanini Wahaya wana very much high IQ, kama ni kula ndizi, au zile nsenene watu tule , hata ile siri kwanini wanawake wao wanakolea sana kwenye mambo yetu yale,Wanawake wengine wote Tanzania wajifunze nao wakolee !,jirani zetu Uganda wanatawala soko la hii biashara Dubai!, kuna siku niko Dubai,nikapelekwa mahali kupata mlo, nikaelezwa ni wapishi ni Baganda, kufika kumbe wengine ni dada zetu lakini ili wabambe soko,wana ji brand Baganda!
P
Wengi watu wa imani gani- swala tu usiniparureNashindwa kuelewa ni kwanini wahaya na misifa yoote hii mijini lakini Bukoba pako very very backward.
In fact hata kamji ka wilaya kama Kahama kako better off by far kuliko Bukoba.
Wahaya mnakwama wapi?
Acha kuolaumu CCM. Wahaya wenyewe ambao ni kwao ni billionaires wanajenga Dar na Mwanza, sasa kama wamedharau kwao CCM ni nani wakawajengee. Waonyeshe kwanza wao mfano kwa kupenda kwaoAtakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
kwamba hao bilionea wa kihaya ndio wajenge stendi na barabara za bukoba?Acha kuolaumu CCM. Wahaya wenyewe ambao ni kwao ni billionaires wanajenga Dar na Mwanza, sasa kama wamedharau kwao CCM ni nani wakawajengee. Waonyeshe kwanza wao mfano kwa kupenda kwao
Mkuu P hapa kwenye mlo umeniacha kidogo, ni mlo gani unamaanisha?Naunga mkono hoja, hata kautafiti tuu kugundua kwanini Wahaya wana very much high IQ, kama ni kula ndizi, au zile nsenene watu tule , hata ile siri kwanini wanawake wao wanakolea sana kwenye mambo yetu yale,Wanawake wengine wote Tanzania wajifunze nao wakolee !,jirani zetu Uganda wanatawala soko la hii biashara Dubai!, kuna siku niko Dubai,nikapelekwa mahali kupata mlo, nikaelezwa ni wapishi ni Baganda, kufika kumbe wengine ni dada zetu lakini ili wabambe soko,wana ji brand Baganda!
P