Bukoba moja...

Bukoba moja...

Nilikuwepo Bukoba apo katikait ya mwezi huu

Aisee sijawahi kuona mji wenye barabara zenye 'one way restriction' kama Bukoba mjini....nilipigwa faini za kutoshaaaa

Kama ni mgeni usijaribu kuendesha gari Bukoba mjini!!

All in All,the Mint sitapasahau...nilipata raha zoteee anazostahili kijana aliekamilika
 
Mkuu donlucchese badae nicheck mitaa hii nkuoneshe viwanja

20170104_171057.jpg
 
Nilikuwepo Bukoba apo katikait ya mwezi huu

Aisee sijawahi kuona mji wenye barabara zenye 'one way restriction' kama Bukoba mjini....nilipigwa faini za kutoshaaaa

Kama ni mgeni usijaribu kuendesha gari Bukoba mjini!!

All in All,the Mint sitapasahau...nilipata raha zoteee anazostahili kijana aliekamilika
The mint daah. Nlikuepo Jan mkuu
20180927_220254.jpg
 
Hapo Sky jioni kuna wahudumu wana makalio ya haja.....

Kwa Maeneo ya kuvinjari ni pamoja na;
1. Bukoba Club (hapa kuna ulimi WA kuchoma hatarii sana)
2. Coffee Tree
3. Casanova (jioni kuna live band)
4. Umura Rocks (nje ya mji kidogo)
5. Police Mess
6. Linaz
7.The Mint Club ( Club ya kisasa kuliko zote BK)
8. The Liquid Club ( Upande mmoja live band, upande mwingine disco)
9. Smart Hotel ( iko karibu na Airport)
10. The Rock (kwa Kitimoto choma)
11. Paradise Pub (hapa kuna Kitimoto hatari sanaaa Tanzania nzima hakipo)
12. Spice Bar (iko ziwani)
13. Yassira Hotel (iko ziwani, kuku choma safi sana)
14. Kolping Hote (Sizler ya Kitimoto ipo ila bei juu kidogo)
15. BCD Stella Hotel (hapa swimming ipo)

Usiondoke bila ku practice katerero! Hapo Liquid na The Mint wanakuwepo wa kutosha, bei chee kabisa na hawajui kuibia wateja.

Nyegera waitu Mnyamahanga!
Kuna moja hapo ilikosesha ndoo nzima ya sato. jamaa alikula bata akaahirisha safari kilichofuata aliniletea harufu tu ya samaki . Shikamoo BK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom